Selfika na JF: Snap it. Show it

Na sie ndo tulichompinga tena pasipo kumtusi

Leo kapost yake nikaiona na hana swaga kama anavyojishaua,,,,, huyo kashalipuka maskini kitoto cha mama

Naisubiri pic yako ex share hata mguu tu ila hakikisha isisifiwe kuzidi zangu
Tatizo anaonekana ana dharau,jana nimesoma comment yake moja eti miguu aliyopost scorpio me inazidi picha za wote humu...ni maoni yake lakini yamekosa busara kabisa
 
Halafu nimegundua picha nyingi zinazowekwa humu ni za viungo vya kutamanishana tu. Halafu huoni chote unabaki tu na hamu zako[emoji30][emoji30][emoji30][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mungu anawaona
Na nilijua ni kwa mazingila uliopo umechil mahala unafotoa kumbe hata za google poa tu
 
Kwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.
.
Angalieni aina ya uandishi na vi ....
.
Umeona haupati backup yoyote kwa wanaume ukakumbuka una id mbili acha ujipigie assist.
.
Na mimi nimeona picha yako ni bonge la mshamba yani. Upo hovyo hovo haujui hata kuvaa. Umekaa kama mtu wa zamani.
.
Una miaka 20 mbona picha yako inaonekana kama mzee? Kweli ukiwa mjinga unazeeka ingali una umri mdogo.
 
Hannah nia yake akutoe kwenye mudi, usimjibu tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…