Selfika na JF: Snap it. Show it

Sikuikariri post namba ngapi
Na sikujisumbua kuisave sababu sina hulka hiyo ya ushukununu

Ila alikuwa ufukweni na begi kwa nyuma ni mkaka wa kawaida ila hakuwa na swaga classic anazojitia kudolishia
Nimetumiwa japo yeye kaona aibu akaenda kuifuta.
Umesema ni mkaka wa kawaida?
Acha utani haujaona kasema ana miaka 20? Jitu lipo kama mzee wa miaka 70 huku ana miaka 20 bado unaona ni "mkaka wa kawaida"?
Alivovaa sasa kama anaenda kuchunga ng'ombe na hapo ndio kajipigilia ili apost picha huku. Nimechekaaaa
 
Msamehee mtoto tafazali 😂😂
 
Ishia hapo tafadhali.

Hafu mbona mii sina bahati?
 
Hahahahah umenizidi wehu walahi tena
 
Miminimama usipopata mume leo kaogee baharini kwa pic za leo mpaka saiv kumi na robo alasiri umetikisa.....tunaendelea
Kwa Lile umbo hapo ndo unapojua bara letu tukufu la mama Africa limebarikiwa


Yule aliesema wadada wa huku wabaya hivi alipitia huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…