Usinidanganye tafadhali π ukishindwa hapa basi hata kule kwingineHahah inakuja..mtandao upo slow,, inaload hapa
Hiyo nimeiona mahali, halafu umekuwa mweupe sana.Ya kukuona hafu nimekunja nne mahala nimeselfie wananambia mguu una gaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wanaokuhurumia unavyoteseka kuubeba.
Kuna wale ukipanda gari nao wanakereka kabla hata hujafika kwenye kiti
Hebu jiulize mwenye mke alivyo kwenye kitanda mpaka kiwe nane kwa sita ndiyo mnaenea
Picha nzuri, wa kama hivyo hamzeeki mapemaHongera ya nini mkuu?
Hiyo nimeiona mahali, halafu umekuwa mweupe sana.
Hamna magaga wewe haujawaelewa[emoji28]
Sisi ambao ni team.....tunaogopa magobole.Manga alipost picha ya mguu wake bhana mi nikatabiri kuwa unyayo ule lazima umefunga mguu mwenzie ndo vile mi situmiagi.....tumeelewana mzee mwenzangu
Uzee mwisho ChatoPicha nzuri, wa kama hivyo hamzeeki mapema
Ahahaha haya bana, sisi wengine tukipiga pic zinaunguaUzee mwisho Chato
Sisi ambao ni team.....tunaogopa magobole.
Kwa hiyo kwa mguu ule lazima kuna gobole sio? [emoji28][emoji28][emoji28]
Kosa kubwa hahahahTatizo anaonekana ana dharau,jana nimesoma comment yake moja eti miguu aliyopost scorpio me inazidi picha za wote humu...ni maoni yake lakini yamekosa busara kabisa
Teh njia ya kwenda pande zipi?
Hahaha sawa sawa dada anguUsinidanganye tafadhali [emoji23] ukishindwa hapa basi hata kule kwingine