[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba wewe ni mpole?? Basi ile siku labda uliamka vibaya!!
Bado ule mwanya wako unajiajia tu kichwaniHatimayee memaliza
Manenooo meeeengiiii picha hamuweki! Waone kwanza
Haha unajiweka afu siku unashangaa mtu anakushika bega barabarani.
Me nimejiweka dear, Mimi OG 🔥😛😛
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eimeeeeni
Sidanganyiki mimiBado ule mwanya wako unajiajia tu kichwani
Hapana sio wafupi ni warefu kwenda chiniWafupi tunapost miguu tuView attachment 1219978
Aya bana njiwaHakika
Weka mama nipo apa tayariHuyo kaka namuwekea picha ila haoni sijui anakwama wapi verifaid yuza..
Anatuchelewesha sna huyu[emoji28][emoji28]miminimama du ze nidifuli please
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeikumbuka ni siku ipi??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku ipi hiyo jamani!!
Halafu wewe ndo ulinichokoza, na nikakuacha tuu
Utapotea! Hadi saa za 7k-10k Nazo niwe nayo moja 😂 naanzaje
Upite uku getini mama akeSidanganyiki mimi
Relax kakakebest yangu Depal ameniangusha sana kuna picha alipost humu ndani kumbe kaitoa mtandaoni maana nilivyoiona sikutaka kukubali maana nilibahatika kuzoom mguu wake kwa kutumia VAR, sasa iweje ndani ya mwezi mmoja huu awe na vidole na unyayo mzuri vile kumbe kaishia kuokota picha mtandaoni...
Hata Sakayo naona ameokota picha mtandaoni kaweka pia, nimeshangaa sana, ila baada ya kuumbuliwa ikabidi aweke picha akiwa ofiisini kidogo ile ina ukweli ndani yake...
Jamani warembo nyie ni wazuri tatizo ni hilo tu hamjikubali...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]miminimama du ze nidifuli please
Hebu ongeza sautiAnatuchelewesha sna huyu[emoji28][emoji28]
Hujaiona reception ya sakayo itakuwabest yangu Depal ameniangusha sana kuna picha alipost humu ndani kumbe kaitoa mtandaoni maana nilivyoiona sikutaka kukubali maana nilibahatika kuzoom mguu wake kwa kutumia VAR, sasa iweje ndani ya mwezi mmoja huu awe na vidole na unyayo mzuri vile kumbe kaishia kuokota picha mtandaoni...
Hata Sakayo naona ameokota picha mtandaoni kaweka pia, nimeshangaa sana, ila baada ya kuumbuliwa ikabidi aweke picha akiwa ofiisini kidogo ile ina ukweli ndani yake...
Jamani warembo nyie ni wazuri tatizo ni hilo tu hamjikubali...
Utapotea! Hadi saa za 7k-10k Nazo niwe nayo moja 😂 naanzaje
Ila me kile kidevu nikikukuta siku cocoriko nakushika mkono
Sawa babakeUpite uku getini mama ake
Nikukabidhi silaha
Mimi mida yangu imeisha