Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku ipi hiyo jamani!!

Halafu wewe ndo ulinichokoza, na nikakuacha tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeikumbuka ni siku ipi??
 
best yangu Depal ameniangusha sana kuna picha alipost humu ndani kumbe kaitoa mtandaoni maana nilivyoiona sikutaka kukubali maana nilibahatika kuzoom mguu wake kwa kutumia VAR, sasa iweje ndani ya mwezi mmoja huu awe na vidole na unyayo mzuri vile kumbe kaishia kuokota picha mtandaoni...

Hata Sakayo naona ameokota picha mtandaoni kaweka pia, nimeshangaa sana, ila baada ya kuumbuliwa ikabidi aweke picha akiwa ofiisini kidogo ile ina ukweli ndani yake...

Jamani warembo nyie ni wazuri tatizo ni hilo tu hamjikubali...
Relax kakake
Nilomuweka ni role model wangu... Halafu nishaweka picha zaidi ya saba humu! Sijui umeligundua hilo?!

Ile mara ya kwanza sio kwamba nilishindwa kuweka, HAPANA! Privacy yangu inakuja kwanza ndo hayo mengine!!

Jiulize kwa nini hujaona hizo nyingine tano umeona mbili tu?! Relax, humu ni chit chat!
 
best yangu Depal ameniangusha sana kuna picha alipost humu ndani kumbe kaitoa mtandaoni maana nilivyoiona sikutaka kukubali maana nilibahatika kuzoom mguu wake kwa kutumia VAR, sasa iweje ndani ya mwezi mmoja huu awe na vidole na unyayo mzuri vile kumbe kaishia kuokota picha mtandaoni...

Hata Sakayo naona ameokota picha mtandaoni kaweka pia, nimeshangaa sana, ila baada ya kuumbuliwa ikabidi aweke picha akiwa ofiisini kidogo ile ina ukweli ndani yake...

Jamani warembo nyie ni wazuri tatizo ni hilo tu hamjikubali...
Hujaiona reception ya sakayo itakuwa
 
Back
Top Bottom