Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OhooooUlikuwa kwenye suruali Haya utaniambia kama niifute hiyo picha au ibakiView attachment 1218874
Ndio mkuu.
Hakuna aliyethubutu!
Aisee kuna watu wanafaidiAcha kutunga hadithi bana
Tuma ya kwako faiUzi unakimbia jamani najitahidi kukimbizana nao ,siskip hata page moja[emoji1] , hongereni jf members ni wacute na mahandsome balaa[emoji106]
Ohoooo
Hiyo ifute tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
Kama naniiAisee kuna watu wanafaidi
Kuna watu wabishi.[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana
Na simu.Unaongea na nani eti auntie
HahahahahaTayari ha ha ha ha naona glass ilisharuka
Najuta kuweka huu uzi [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji85][emoji85][emoji85]Og gani sasa zaidi ya hiyo nimeipiga muda si mrefu.
Au unamaanisha niweke tbt kama hii?View attachment 1218811
Ewaaaaaaaaaaaaaaaaah.Ni yeye, kwa vile iko gugo haimaanishi kuwa sio yeye,, jibu tosha kabisa hili
Kumbe sio mimi tu namuonaga ni bora kati ya wanaume humu.
Sasa subiri analeta ambaye alikuwa kigori hajanenepa mtu kama wewe uhonge mshahara wote...