Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

unataka akose demu
Kwani wanatupia pic wapate mademu?? 🤣🤣

Kuna mmoja alikuwa anatupia pics yuko maandishi matatu, (USA) siku ya siku nimemuona kwenye uzi mmoja analalamika mbegu alizopanda shambani kwake mkoani huko hajizastawi 🤣🤣🤣

Anaomba ushauri kwa mabwana kilimo wamsaidie 🤣🤣
 
Back
Top Bottom