Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Sijaona hata
Tupia tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona hata
Mangi nimemkubali salute kwake 😂😂😂Hahaha..!!
Mimi si mtunzaji kabisa wa watoto wa watu wifi yangu mzuri,
Ila Mangi anawaka hiiivi kama taa..!!
Dooh hata sijaonaa
Huna impact yoyote 🤣🤣Kwa sababu Gani 😂 😁
Weeh!! Mi ndo nakwambia sasa uko 😍😍Lamo kama lamo hakuna cha wa moto wewee😆😆😆😆
Hahahaha nitatupia timu yangu ikikamilika Lamomy ephen_ Nyamwila255 Vincenzo JrWeeh!! Mi ndo nakwambia sasa uko 😍😍
Tupia nyingine basi mtu wangu Sunday iishe vyedi… ehh bonge la bwana 😂
Kweli ndugu yangu umenichoka aisee 😂😂Lamo nyie mnapendana 😅😅😅😅
Hatujaona 🤳ulotupia ujue fanya manuva weekend yetruuu iishe vizuri kiongozi
Team ya nini em tupia hapa nikuone bana 😂😂😂
Ewaaaah!! Hapo umeongea sasa mwagika za mifedha tajiriiiiii 😍😍Hata pesa nawazidi 😆😆 haujiui tu😅😅😅😅😅😅
marafiki zangu ndio niny mnanikimbia duhMdogo wangu pesa zinategwa hazitafutwi sawa? 😂😂🤣
Unazitafuta pesa unazitafutia wapi??
Change your cycle dogo, ukiwa na rafiki mwizi na ww lazima uwe mwizi..
Futa hii lamo😆😆😆Ewaaaah!! Hapo umeongea sasa mwagika za mifedha tajiriiiiii 😍😍