Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Nyie danganyaneni tu, wewe unatakiwa upigwe ndoige na sugunyo☹️🤛👊✊Ngumi za nini?😄 wakati mrembo mwenyewe kasha ni approve?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie danganyaneni tu, wewe unatakiwa upigwe ndoige na sugunyo☹️🤛👊✊Ngumi za nini?😄 wakati mrembo mwenyewe kasha ni approve?
Auntie mshunu huyu ka-cute 😘😘
Watu wazima tuliokomaa na stress tunasikia maumivu tukisukwa itakuwa mtoto ngozi ya kichwa laini 😂😂Ndiyo. Ila mbishi huyo 😀.
Nahisi kichwa huwa kinamuuma.
Baba mtu ana ndevu km Ossama 😂😂Sasa mtoto mwenyewe si unaona unywele umegraduate? Hautakiwi kuupaka chochote ili hata kama anazibana ziendelee kuwa laini ?
Najua Nyani Ngabu yeye mtaalamu wa kufunga udevu, ameuwekea bajet matata, ukimpa mwongozo wa mafuta au chochote kinachohusu matunzo ya nywele za binti, itafaa pia
Shukrani Kwa maelezo mazuri ya awali. Siku njema.
Huyo tunajuana miaka. Wewe umemjua sijui juzi. Utulie kama unanyolewa zivu sawa. Halafu acha kumsumbua babe wangu, ana mambo mengi ya kufanya na kunipenda. Acha kumvuruga muoneKoma kumsema sifa mbaya babe wangu Madame B
Hameni nchi 😂kama muda hauruhusu?
Huyo G naye king’ang’a haelewi km umewahiwa 😂😂Huyo tunajuana miaka. Wewe umemjua sijui juzi. Utulie kama unanyolewa zivu sawa. Halafu acha kumsumbua babe wangu, ana mambo mengi ya kufanya na kunipenda. Acha kumvuruga muone
Eeeh isijekuwa waebrania tumepangwa safari ya kuelekea Kanani😅Huyo hapana alisema tu ananipenda. Basi kaunganisha tela. Nina babe mmoja tu. Anajijua Odo, nimecheka hapo kwa Waebrania una maneno Odo 🤣🤣🤣🤣🤣
Odo hapo nimefika, hutosikia mwingine. Nampenda mpaka nampenda tena. Hivi unaanzaje kuacha kumpenda, mkaka wa hivi? Waebrania wabishi vibaya mno. Sina mbavu 😂😂😂😂😂😂😂Hapo sawa odo mpende kikiboxer wako mwayego.!
Waebrania wabishi sana!! 😂😂😂
Mkuu tatizo sio mimi tatizo ni Bantu Lady ndiyo amekataa.Nyie danganyaneni tu, wewe unatakiwa upigwe ndoige na sugunyo☹️🤛👊✊
Treeeenaaah odo kapenda had kapenda tena.!Odo hapo nimefika, hutosikia mwingine. Nampenda mpaka nampenda tena. Hivi unaanzaje kuacha kumpenda, mkaka wa hivi? Waebrania wabishi vibaya mno. Sina mbavu 😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Babeeee No siwezi kukupanga kamwe. Huyo G sijui tumkwepeje. Utasema natembea na figo zake 😅😅😅😅😅Eeeh isijekuwa waebrania tumepangwa safari ya kuelekea Kanani😅
kalitoa wapi sijui hili neno? Lamomy utatuvunja mbavu.Odo hapo nimefika, hutosikia mwingine. Nampenda mpaka nampenda tena. Hivi unaanzaje kuacha kumpenda, mkaka wa hivi? Waebrania wabishi vibaya mno. Sina mbavu 😂😂😂😂😂😂😂
I know Babe.Hataki ku move on?kweli huyu muebrania hahaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Babeeee No siwezi kukupanga kamwe. Huyo G sijui tumkwepeje. Utasema natembea na figo zake 😅😅😅😅😅
Haya basi bingwa umeshindaMkuu tatizo sio mimi tatizo ni Bantu Lady ndiyo amekataa.