Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naona wamenitamanisha na casino zao hapa 😂 😁 😁Kila la kheri afisa utabiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wamenitamanisha na casino zao hapa 😂 😁 😁Kila la kheri afisa utabiri
Asantee mkuu..Kikubwa umebarikiwa nini mkuu
Chukua Maua yako
Nimefuta muda ifute basi na wwUkitaka kufuta niambie nilikuqoute bahat mbaya
Atakuwa na banIla umeanza. Picha hazifutiki ila umekuja naanza kucheka jamani. Nkamu wako kapotea toka jana. Msabahi, atakuta manyoya 😅🤣😅
Rudi kwenye hii post edit futa hiyo picha haijafutikaOyaaaa mazeeee 🔥🔥🔥🔥
Ebhanaeee sawaRudi kwenye hii post edit futa hiyo picha haijafutika
Maindu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰 hii imepita, imenyooka kabisa mrembo Kalpana maindu 😍😍😍😍😍Mi na Bantu Lady ni ndugu...😃😃😃😃
Bl ni Bl kweliii, kaweka jina la I'd yake linamsadifu alivyoo.Bora umesema auntie ni mrembo kweli
🤣🤣🤣🤣Sheria tenaEbhanaeee sawa
Ni mwendo wa kutii sheria bila shuruti
Meno meupe bas auntie nikufundishe kupika vitumbua vya bwana🤣🤣🤣Bl ni Bl kweliii, kaweka jina la I'd yake linamsadifu alivyoo.
Yuko [emoji91][emoji91][emoji91]
Tuishi humo rafiki...😃😃tunatupia chapu tunasaidiana kudelete chapuu..hii mitupio ni kwa ajili ya Selfika membaz only waliopo online muda huo au sioo raraa rereeEbhanaeee sawa
Ni mwendo wa kutii sheria bila shuruti
Wee dada madesaa si nilishaacha tokaa mwaka jana August.Kacoca kanalialia kuona picha
Kapambane na field
Hata mkirudia katapitwa tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana ni Rudi nenda futa ile 👨✈️🤣🤣🤣🤣Sheria tena
Wanamuonea sana huyu😃😃😃alipigwagwa kumbe...
Sasa sisi kwa sasa tupo tuu kuchangamsha genge tuu siku ziende...
Haijafutikaaa...🙄🙄🙄😃😃😃
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daah nimesahau kuhusu madesaa wallah.Kako chuo kumbe? Ndo maana kametulia siku hizi