Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie mlikuwa mnaplay team zote πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi nilisimama naye mpk kamrudisha sele kwapani..!
Nipewe mafao yangu kwakweli 😹
Shangazi alikuwa anashambuliwa hadi tunaingilia kati
Mimi nilikuwa timu yake mzalendo kabla hajatuvuruga
 
Shangazi alikuwa anashambuliwa hadi tunaingilia kati
Mimi nilikuwa timu yake mzalendo kabla hajatuvuruga
Ila kesho aje atulipe hata nusu jamani tumepambana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani km mimi nilinunua kesi hata siijui chanzo vizuri 😹
 
Sasa Nkamu we umekuja kumpambania phase ya mwisho wakati anaelekea ushindini ..
Mwenzio Mimi toka phase one nilikuwa chawa kimbelembele wa shangazi ,wakati huo Sele anajimwayamwaya huko Duniani.

Ila kesho aje atulipe hata nusu jamani tumepambana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani km mimi nilinunua kesi hata siijui chanzo vizuri 😹
 
Back
Top Bottom