Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtukula ilikuwa siyo level za shangazi
Punde tu tutasikia mara Shangazi kawa Mkemia mkuu wa serikali.
Ahh.!! Mbona hiyo kwa shem sele km kumsukuma mlevi umesahau aliwatafutia kazi wale waasi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shangazi hakamatiki sio level zao tena.!
 
Kapeace ndani ya mjengo😍πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Tunasubiri Selfie
Na Bantu Lady naye tumemmiss sana jamani

Tubakancie Uzi na selfie zenuπŸ”₯
Bl aje na vocha kwanza tajiriiiiiiiiii toto la kimanga kabarikiwa uzuri mpk utajiriii malkia wa Sheba huyu.!!
Huyu Kapeace mahi wangu naye aje hapa tajirii anamiliki dollar tupu.! 😜

Waje matajiri wetu wa selfika, wamepewa uzuri mpk pesa awwwwh tuna raha humu 😹
 
Bl aje na vocha kwanza tajiriiiiiiiiii toto la kimanga kabarikiwa uzuri mpk utajiriii malkia wa Sheba huyu.!!
Huyu Kapeace mahi wangu naye aje hapa tajirii anamiliki dollar tupu.! 😜

Waje matajiri wetu wa selfika, wamepewa uzuri mpk pesa awwwwh tuna raha humu 😹
Hawa sasa ukisikia Mungu kawapa vyote ndio hawa
Uzuri
Pesa za jumla
Roho nzuri

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯😍😍
Waje na picha kaliii kama kawaida yao
Tunawasubiri
 
Ahh.!! Mbona hiyo kwa shem sele km kumsukuma mlevi umesahau aliwatafutia kazi wale waasi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shangazi hakamatiki sio level zao tena.!
Shangazi ni level zingine siyo mwenzetu

Sele kama Sele
Hatari sana.
 
Ahh.!! Mbona hiyo kwa shem sele km kumsukuma mlevi umesahau aliwatafutia kazi wale waasi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shangazi hakamatiki sio level zao tena.!
Shangazi ni level zingine siyo mwenzetu

Sele kama Sele
Hatari sana.
 
Hawa sasa ukisikia Mungu kawapa vyote ndio hawa
Uzuri
Pesa za jumla
Roho nzuri

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯😍😍
Waje na picha kaliii kama kawaida yao
Tunawasubiri
Umesahau vocha, wanakujaje bila vocha matajiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na wasitume mpk tufike hapa 😹
 
Hello Nairobee
IMG_3106.jpeg
 
Shangazi mbona sio shida zake we subiri aje uone wapambe wake tunavyooga vocha, shangazi za voda ziwe nyingi nijaze bando tuendelee kukupamba thawaaa.!! 😹😹

Sisi wote na coca team shangazi mwanzo mwisho na vocha tunazo, kazi kwako shangazi kutumwagia vocha na mafao
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
Shangazi mbona sio shida zake we subiri aje uone wapambe wake tunavyooga vocha, shangazi za voda ziwe nyingi nijaze bando tuendelee kukupamba thawaaa.!! 😹😹

Sisi wote na coca team shangazi mwanzo mwisho na vocha tunazo, kazi kwako shangazi kutumwagia vocha na mafao
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
Back
Top Bottom