Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ahh.!! Mbona hiyo kwa shem sele km kumsukuma mlevi umesahau aliwatafutia kazi wale waasi? ππππππππππππ
Mtukula ilikuwa siyo level za shangazi
Punde tu tutasikia mara Shangazi kawa Mkemia mkuu wa serikali.
Shangazi hakamatiki sio level zao tena.!