Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uzuri hawa pisi kali hawanaga uswahili kabisaWao waje muda ndo huu kabla hatujatoka kwenda kulewa πππ
Yaani wanaweka vyuma π₯π₯π₯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri hawa pisi kali hawanaga uswahili kabisaWao waje muda ndo huu kabla hatujatoka kwenda kulewa πππ
ππππππππ kabeeesaaa (in shanga voice)
πππ waje mi nataka kutoka banaUzuri hawa pisi kali hawanaga uswahili kabisa
Yaani wanaweka vyuma π₯π₯π₯
Shangazi leo weekend anamsinga shemeji hapo labda baadae π€£π€£π€£πππππ
Mwite shangazi
Aje na Sele waselfike ya pamoja
Saiv wazee nawahama nataka dogo dogo wa kunichangamsha nikikaa hivi nipate sms za micheps? Mara nidanganywe nilie na utu uzima huu basi na akili ichangamkeNipo nipo selfika pisi yβa babu monk π
Tuwekee ile uliyovunja kabati mahi
Mrembo kapeace ndio anaandaaa picha hivyoπππ waje mi nataka kutoka bana
Jamaa wa kiume, akawa na I'd ya kike, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hata
Nipe ubuyu kidogo shost jamani
Woyoooooooooo!!Tajiri pisi kali
Mwenye hela zake ni mmoja tu
Bantu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ana macho makubwa, unaambiwa.Hivi alishaselfika humu?
Usije kuwa coca alitupiga kamba kwamba shem mfupi kama Sele wa mbosso.
HeeJamaa wa kiume, akawa na I'd ya kike, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ko akawa anafuatwa PM, akipigiwa cm anaweka settup sauti ya kike,
Basi wazee wa JF wanajaa kwenye mfumo, kutuma miamala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitumiee mahiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majasiri sana alooo.!
Wengine km wametahiriwa na panga havieleweki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila pm raha nyie ukiwa mmbea unabwagiwa mibalaa ya waja kwa raha zako..!
Kuna mmoja ana poumbou km za mbusi kiruuuuu.!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Ila umbea naacha rasmi nitapofuka macho bure nishindwe kuweka order za maua ya vijora vyangu..
Mahi nakutumia sie tena wambeaβ¦!!
πππππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ana macho makubwa, unaambiwa.
Hata kushuka kwenye gari hawezi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaah!!!Hatari spatakasi nyingi [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaa huko.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe mambo ndio yalikuwa hivi...
Rumour has it
Utaviweza vijukuu vya Farao lakini??Saiv wazee nawahama nataka dogo dogo wa kunichangamsha nikikaa hivi nipate sms za micheps? Mara nidanganywe nilie na utu uzima huu basi na akili ichangamke
Oyoooooooo.!! πππMrembo kapeace ndio anaandaaa picha hivyo
Hii michuano bado mibichi kabisa.
Hatariπ₯π₯
Thubutuuuu, autoe wapii u tall? Ni kifupii, kina macho makubwaa, hata kwenye Gari hakuweza kushukaa,[emoji23][emoji23][emoji23] shem aselfike ila najua shem wangu super tall bana
Hakuwa anaweka settup kuna dem alikuwa anampanga anaongea nao πππJamaa wa kiume, akawa na I'd ya kike, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ko akawa anafuatwa PM, akipigiwa cm anaweka settup sauti ya kike,
Basi wazee wa JF wanajaa kwenye mfumo, kutuma miamala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]