Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 2,904
- 7,489
Naona leo mna mbio za langa langa watoto wa kishuaππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona leo mna mbio za langa langa watoto wa kishuaππππππππππ
πππ Ntakuitia shem mmalizaneπ π π π π nikipandisha genye utanisaidiaje huko piemuni!!!
Rudi inbox tafwazaliiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahi najaribu kuwaza nje ya box
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaliziee na PM kwangu,Haki ninakoelekea ntaharibu kabisaaa leo nna roho mtaka fujo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππππππ Exactly brotherNaona leo mna mbio za langa langa watoto wa kishua
Ni whatsap nikusaidie kukisema hapaπ€£π€£π€£ hutaki kuambiwa Iβm coming babe, mada faka πΉπΉπΉ
Wazee nasikia ukimpea katikati ya game anakwambia, βBinti yangu acha kwanza mshipa umeshtukaβ πΉπΉ
Halafu wana vibusha wazee wenu.! π€£
Katikati gari limewaka moto wanauachia mbwiiiiii.!! πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Kuna kitu nilitaka kuongea ila ngoja niache njoo pm tumalizie hapa kuna watu nawaheshimu πΉ
Yupi?? π π π wa jf siwatakiπππ Ntakuitia shem mmalizane
WOw kikiboxer π₯°π₯°π₯° halafu mrefu π haya shemeji yenu, kaselfika. Tuone selfie nyingi, tufunge weekend kibingwa.Ni week end na uzi umejaa porojo nyingi bila picha Bantu Lady View attachment 3110347
Kumbe una vinyweleoo, hongeraa sanaa.Ni week end na uzi umejaa porojo nyingi bila picha Bantu Lady View attachment 3110347
Jukwaani walikataa. Duka la vocha Jumapili limefungwa. Panapo uzima kesho tsapp kipenzi.π₯°Wekaaa vochaaa tajiriii.
ππππWewe upo vzr, yaan huna mood unapika chapati.
Wengine wakiamua kupika chapati wanapika chapati inashape Kama triangle
π€£Tufungulie njia wizoo
Tajiri huna baya tajiri weee tajiri pekee kutoka kusini mwa jangwa la Sahara mwenye utu na utulivu πJukwaani walikataa. Duka la vocha Jumapili limefungwa. Panapo uzima kesho tsapp kipenzi.π₯°
Mambo ππ€£
Vinyweleo si kila mtu anavyo? labda tunazidiana tu.Kumbe una vinyweleoo, hongeraa sanaa.