Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeanza lini kuogopa kuselfika kwani???

Tupia hizooo hizoo Mimi sijaona foro zako zote uzoweka humu !
Boss nasubiri vocha yani kweli auntie hii hutaki kupiga comeback mpambe wako nifurahi 😜
Kina Saint Anne nkamu wananitambia wamepewa vocha na boss wao 😰
Fanya jambo bossledi wangu mnjuri njuri mwenye figure lake, muke ya tajiri Smart 😍😍😍
 
Si unajua Mimi umri umeenda, nipo naendesha gari yangu ya Mwaka 47, Land Rover 110 😜

Kwema lakini Mkuu, kitambo sijakuona humu πŸ€—
Achana naye huyo babu yy gari lake liko wapi? 🀣🀣
 
Bantu mitano tenaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Tajiri kacheka
Tajiri katema mgodi

Naweka vocha hadi Voda wanauliza
Ndugu mteja,niwe wewe kweli?
Nkamu kwahiyo mimi zangu ziko wapi? 🀣🀣
Yani kwenye vocha umenitenga, ila kusifia tuko pamoja?!! 😹😹

Ila wambea sisi hatupendani 🀣
Tena mimi niliweka msisitizo ziwe za voda na halafu nimekosa.!! Acha nimsubiri shangazi anibless
 
Babu njoo umsikie mjukuu wako anavyosema Grahams eti wewe muoga?!!
Hajui km nyie ndo mlipigana na mkoloni fiftini nainte kweusi 🀣🀣🀣
Ukishaona mtu anajiita mzee sijui babu tayari ni alert ya uoga hiyo,
 
Ukishaona mtu anajiita mzee sijui babu tayari ni alert ya uoga hiyo,
Tatizo lako mahi wangu jeuri unavijibu vibabu majibu makali mpk wanakuogopa 😹😹😹
Wewe endelea kuwa jeuri utawapata kina Mwachi na mshamba uanze kupiga kelele na vitoto πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tatizo lako mahi wangu jeuri unavijibu vibabu majibu makali mpk wanakuogopa 😹😹😹
Wewe endelea kuwa jeuri utawapata kina Mwachi na mshamba uanze kupiga kelele na vitoto πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…nimepunguza jeuri mdogo mdogo wataacha kuniogopa
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…nimepunguza jeuri mdogo mdogo wataacha kuniogopa
Sio kupunguza acha kabisa kina grand-papa hawapendi kupandishwa visukari gulu πŸ˜‚πŸ˜‚

Babu Grahams kasema week-end muende akakuonyeshe ofisi za Afro Shiraz zenziberi, jioni mkale urojo 🀣🀣
 
Ila wifi ko umeamua kupost mkono wa bro 🀣🀣🀣
Wakinga tumependwa kokote tunapostiwa, wifi kalewa penzi la kina Sanga Family oyoooooo..!!! πŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€£
Wangu my Wii sema tu umekomaa na hiv sifug kucha sipaki hata rangi ndo kabisa πŸ˜€πŸ˜€
At least nikipaka Hina ndio unajulikana Kwa mbali kama mkono wa mwanamke
IMG_20221009_174936.jpg
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nkamu kwahiyo mimi zangu ziko wapi? 🀣🀣
Yani kwenye vocha umenitenga, ila kusifia tuko pamoja?!! 😹😹

Ila wambea sisi hatupendani 🀣
Tena mimi niliweka msisitizo ziwe za voda na halafu nimekosa.!! Acha nimsubiri shangazi anibless
Nkamu haukuwepo hii siku
Tulikuwa na Coca.

Kumbuka zile za mwanzo tuliomba Kwa shangazi Mkemia
Ila hizi tumeomba Kwa Bantu BMoney.

Ila hana baya tajiri.
 
Sio kupunguza acha kabisa kina grand-papa hawapendi kupandishwa visukari gulu πŸ˜‚πŸ˜‚

Babu Grahams kasema week-end muende akakuonyeshe ofisi za Afro Shiraz zenziberi, jioni mkale urojo 🀣🀣
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… akinifia kesi kwako! Maana hiyo kisukari na presha ikipanda ndo basi tena
 
Back
Top Bottom