Una kifua kizuri😍😍😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kifua kizuri😍😍😍
🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋It's weekend 💃 Chocolate cake 😋 Anyone 🎂🍫View attachment 3116187
ThawsUna kifua kizuri😍😍😍
Dua ishindweeeeAliekula vya wenzie na vyake vitaliwa tu 😃😃😃😃
Vipii mama mtumishii?? Niko hapaa.Pole tatizo unapotea sn na ww
Miss u
Ngoja nitakuita usijali
Dear Bl naombaa [emoji515], [emoji39][emoji39][emoji39]It's weekend [emoji126] Chocolate cake [emoji39] Anyone [emoji512][emoji515]View attachment 3116187
Cake nachukiagaa hayaa ma uji ujii, aaaah Wee.ewaaaa nakulaga kwa huyu ila badoooView attachment 3116217
😀😀Dua imeenda hiiDua ishindweeee
mi ndo napenda huo uji kuliko cakeCake nachukiagaa hayaa ma uji ujii, aaaah Wee.
Hahahaha hiyo dua kila siku tunatoa sadaka za kuomba rehema za Mungu dhidi ya our past....😀😀Dua imeenda hii
Ni tandale😂Nitumie google location nije chapu Mkuu, si unajua leo weekend Wazee tunataka tukapige misele 😜🤗
Hapana sijawekaVipii mama mtumishii?? Niko hapaa.
Usinambie nimepitwaa, woiiiiih
Hapo uhakika, napenda kufanya kazi na Vijana wasioweza kupoteza muda wa mteja kama hivyo.Ni tandale😂
Ntakutumia location, mafundi wa uhakika tupo. Gari tunaishambulia kama nyuki😂
View attachment 3117111
Karibu sana ofisini kwetu, mteja kwetu ni mfalme😂Hapo uhakika, napenda kufanya kazi na Vijana wasioweza kupoteza muda wa mteja kama hivyo.
Wiki iliyopita nilihama gereji baada ya kuona Mafundi, wanataka kufanya service ya gari yangu Kwa masaa 8🙌
Nimevutiwa na theme campaign yenu ..."Mteja kwetu mfalme"Karibu sana ofisini kwetu, mteja kwetu ni mfalme😂
Pole sana, labda tatizo lilikua kubwa ndio maana wakataka kutumia masaa mengi Ila kubadilisha tu oil na filter haiwezi chukua huo muda
Haina noma, uje aisee utuunge mkono😂Nimevutiwa na theme campaign yenu ..."Mteja kwetu mfalme"
Tag location niwe nawatembelea