Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20241014_112317.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Selfika idumuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Muwe na Jioni njema wapendwa
 
Huko mbeya kuna chimbo linaitwa Mbeya pazuri, baada ya kuuliza ulizia Mbeya chimbo la maana ni lipi, nikaambiwa ni hapo.

Pisi za Mbeya wachache saana vimbau mbau... Mostly walikuwa six cylinder 🙌🙌🙌🙌🙌

Hapo city center ikifika SAA tatu yaan hamna watu kabisaa.

Kibaridi cha Mbeya kingekuwepo daslam yaaan...
Nenda mbeya carnival pale we mzee ukajiopolee mitoto ya kinyakyusa!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Selfika idumuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Muwe na Jioni njema wapendwa
Fanya Jambo mnywani.
 
Huko mbeya kuna chimbo linaitwa Mbeya pazuri, baada ya kuuliza ulizia Mbeya chimbo la maana ni lipi, nikaambiwa ni hapo.

Pisi za Mbeya wachache saana vimbau mbau... Mostly walikuwa six cylinder 🙌🙌🙌🙌🙌

Hapo city center ikifika SAA tatu yaan hamna watu kabisaa.

Kibaridi cha Mbeya kingekuwepo daslam yaaan...
Yapo mengi ila naona upepo sasahivi upo huko.
Asilimia kubwa ya watu ni miili mikubwa mikubwa..
Mbeya siku hizi kuna joto sana hadi kero.

Kweli, saa3 tu kila mtu yupo kwake.
Ukitoka safari ikafika saa4 , utajua mwenyewe utapanda usafiri gani.. watu washalala hawataki tabu kabisa.
 
Mimi nimestaafu.

Labda mzee wangu Grahams angemuambia afande atuunganishe na afande mwenzake
Afande ni Afande Mkuu, hachelewi kukuagiza mwende safari 4 wakati huo umebaki na nguvu za kuishia safari 1 tu Kwa Mwezi 😜

Kwa Uzee huu, nawezea wapi hayo mambo🤗

Bora tumezeeka sasa 😜
 
Unajua Aaliyyah ni mpole saana.

Hivyo Kwa Leo kulivyo apumzike tuu Yule akisoma hapa anaweza kulia.

Ila kesho aandae juice ya tende... Asisamsahau babu Grahams kwenye juice
Juice ya tende nitaanza kunywa Siku Bibi yao akirudi kutoka huko Mjini, vinginevyo usiku utakuwa mrefu sana Mzee mwenzangu 🤗
 
Mzeee Yule Askari anataarifa umerudi nyanda za juu ?? Yuleeee afisaaa... Hope umemkumbuka
Tulikuwa tunaamini Wazee wa Umri wetu tumepoteza uwezo wa kumbukumbu, lakini Mzee mwenzangu wewe upo tofauti 😂

Unakumbuka hadi tukio la Mwaka 47 😜🙌
 
Back
Top Bottom