cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na ikawe hivyoo, AMINAAAAA!! [emoji120][emoji120][emoji120]Nasikia umelamba bonge la ajira, hongera sana[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ikawe hivyoo, AMINAAAAA!! [emoji120][emoji120][emoji120]Nasikia umelamba bonge la ajira, hongera sana[emoji23]
😁😁😁😁😁😁😁😄😄😄😄😄😄!Hope she is fine.
Mimi pia namkumbuka sana.
Ilibidi ukae nae umfundishe ungangali na ukauzu mnywani.
Haha😁😁😁😁😁😁😁😄😄😄😄😄😄!
Njoo uibles Jioni yangu mnywanii
Nenda mbeya carnival pale we mzee ukajiopolee mitoto ya kinyakyusa!Huko mbeya kuna chimbo linaitwa Mbeya pazuri, baada ya kuuliza ulizia Mbeya chimbo la maana ni lipi, nikaambiwa ni hapo.
Pisi za Mbeya wachache saana vimbau mbau... Mostly walikuwa six cylinder 🙌🙌🙌🙌🙌
Hapo city center ikifika SAA tatu yaan hamna watu kabisaa.
Kibaridi cha Mbeya kingekuwepo daslam yaaan...
Fanya Jambo mnywani.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Selfika idumuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Muwe na Jioni njema wapendwa
Nimekasirika unajua🤔 ulikuwa na kina nani sikuzote hiz dar🤔Aku, sizitaki.
Nimekasirika unajua🤔 ulikuwa na kina nani sikuzote hiz dar🤔Aku, sizitaki.
Selfie Iko wapi 😂😂😂😂😂😂ngoja kwanza nitupie pamba kali Kali
Vita yako si ndogo aisee umefuzu😂😂
Yapo mengi ila naona upepo sasahivi upo huko.Huko mbeya kuna chimbo linaitwa Mbeya pazuri, baada ya kuuliza ulizia Mbeya chimbo la maana ni lipi, nikaambiwa ni hapo.
Pisi za Mbeya wachache saana vimbau mbau... Mostly walikuwa six cylinder 🙌🙌🙌🙌🙌
Hapo city center ikifika SAA tatu yaan hamna watu kabisaa.
Kibaridi cha Mbeya kingekuwepo daslam yaaan...
Wale wa uswahilini kuna kitimoto hapo nyuma ya MwanjelwaHilo chimbo pazuri sana Kuna kitimoto kama chotee hapo 😎
Hakikisha humalizi intern bila connectionNa ikawe hivyoo, AMINAAAAA!! [emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afande ni Afande Mkuu, hachelewi kukuagiza mwende safari 4 wakati huo umebaki na nguvu za kuishia safari 1 tu Kwa Mwezi 😜
Tulikuwa tunaamini Wazee wa Umri wetu tumepoteza uwezo wa kumbukumbu, lakini Mzee mwenzangu wewe upo tofauti 😂Mzeee Yule Askari anataarifa umerudi nyanda za juu ?? Yuleeee afisaaa... Hope umemkumbuka
Hakika Mkuu 🤗Mwili hujengwa na misosi...
Mwambie namsubiri kwenye boma langu, na hivi nina mafuta ya mnyonyo ashindwe yeye tu 😜