Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Bado jiti la jana nilokuchoma linakuuma chogo 😹😹
Muulize kwenye huo ugomvi kilichomkuta baada ya hapo JF ilisimama kwa muda…!!
Sasa nakutuma wewe jitahidi muite muungane uone nitakachowafanya..!! 🤣🤣
Wewe tumbo tumbo acha tabia za kina Agrey utumbo utaoza huo.!!
Mwenzio niko full charge nitakupandisha sukari utapike kiporo ulichokula 😹