Sema maisha yanaenda kasi sana, hivi ni kweli iPhone 16 Promax kwa hapa bongo ni 6,800,000/=

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam wakuu!

Nimeambiwa na nikaenda kwa vendor mmoja akaniambia kabisa iPhone 16 promax 1TB ni milioni sita na laki nane za kitanzania.

NB; Najua hapa kuna comment zinakuja na wataniambia "tafuta hela dogo"

Unapata wapi nguvu ya kununua simu milioni saba kasoro na huna professional yoyote ya kutumia hiyo simu zaidi ya WhatsApp, Snapchat, Facebook, Instagram na twitte [X]. Hapo kumbuka sio mtengeneza maudhui, ambao at least akiwa na hiyo simu utamuelea.

Jamani watu mnatoa wapi hela.

Nawasilisha. Ila nimeumia sana.
 
Nilinzungusha fensi kiwanja cha 20x30 kwa million 6.
 

Belenaisi anasemaje kwani?
 
Kazi ya pesa ni matumizi. Wewe kama 6,800,000 ni mzigo, wenzako wanaona ni kama kutema mate tu.

Zifunze tu kukubaliana na Hali yako.

Hata hiyo smartphone Yako ya Laki mbili/Tatu, Kuna Mtu anakushangaa pesa unapata wapi.

Professor mmoja aliwahi kuliambia Bunge, kuwa anaenda "sokoni" na 10M.
 
Watoto wa kike wanaliwa linda tuu....
 
Mimi sikwambii tafuta hela.

Ila, nakuuliza.

Kwani umelazimishwa kununua?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…