Sema neno kwa miamba hii iliyowahi kutingisha dunia

1) Mfalme Nero
2) Mfalme Nebuchadnezzar
3) Alexander the Great
4) Adolf Hitler
Mfalme Nebukachadhezer, nina hasira naye, siku nimkute atajuta

Ezr 5 : 14 Na vyombo vya dhahabu na fedha, vya nyumba ya Mungu, alivyovitoa Nebukadreza katika hekalu lililokuwako Yerusalemu, ........

2 Wafalme 24 : 11 Na Nebukadreza, mfalme wa Babeli, akaufikilia huo mji, hapo watumishi wake walipokuwa wakiuhusuru.

13 Akatoa huko hazina zote za nyumba ya BWANA, na hazina za nyumba ya mfalme, akavikata-kata vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani, mfalme wa Israeli, alivifanya katika hekalu la BWANA, kama BWANA alivyosema.
 
Mkuu faida ya kuchoma Moto ilikua kubwa kuliko kutokuchoma.
 
Ni kweli labda kwa sababu pia alitaka kuijenga upya Rome kwa jinsi alivyotaka yeye.

Alijua Senete isingemkubalia kuibomoa Rome. Akaamua kutumia shortcut ya kuchoma mji wote
Na huo ndio ilikua mpango wake lakini pia akapata sababu ya kuzidi kuwakandamiza adui zake wa kikristo. So aliua ndege wawili kwa jiwe moja. Ni kama vile CCM wanavyochoma masoko yetu
 
Mbuzi yake kamba wa kawe,, ukikutana nae saa saba usiku alikuwa kabla ya kukubaka anakuambia mapambio,, chagua bega wa msasani ukigumiana nae mida mibovu alikuwa anakuuliza, nikubebe bega la kushoto au la kulia..
 
Kumtaja mtu kama Adolf Hitler msababisha vurugu duniani na kuwasahau baba zetu huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Usidhani ujasiri walioutumia kuwasomesha mama zetu hadi wakubali wapitishe mayai yao kwao (ambayo leo ni sisi) ilikuwa kazi rahisi,haikuwa kazi rahisi hata kidogo.
 
Madhara ya kutosoma historia yamenifanya nikose cha kuchangia.

Naomba nyie wadau mueleze japo kwa ufupi hao watu mnaowataja ni akina nani na walifanya nini ili na sisi tujifunze
Kitu kingine mizaha onaharibu sana uzi.Mtu anaamua kusepa.
 
"Braza" Hitler alifeli alipoanzisha front na wazee wa vodka wakati alikua bado na front za moto na watoto wa malkia ,
Hata mageneral wake walipomshauri akawa hasikii la muadhana mwisho wake
 
"Braza" Hitler alifeli alipoanzisha front na wazee wa vodka wakati alikua bado na front za moto na watoto wa malkia ,
Hata mageneral wake walipomshauri akawa hasikii la muadhana mwisho wake

Mjinga alikua hashauriki, walikaa na kukubaliana na Stalin kwamba hataivamia Urusi, yeye aendelee kufumua bara Uropa, na kwa muda alikua amefaulu kuteka hata Ufaransa na vitaifa vingi vya Uropa, alivyo mjinga kataka kutanua mpaka kwa wanywa gongo ya Vodka, pia huko alikua amefaulu kiaina ila akachelewa pale Stalingard.
 
MK254 ni miongoni mwa wamba wanaokiwasha sawasawa katika ujinga humu JF
 

1. Umekwitwa huku mara 800+, umebanish kimya tu?!

Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!

2. Kimya! Kama haupo vile. Kumbe upo unajipitia juu kwa juu kukimbilia kwenye viroja na vi mada uchwara?

3. Wacha kujisemea "hiiiiiii ..iii!" 🤣🤣



4. Wanataka afungue chungu cha IEBC (server), siasa za ujanja ujanja Gaza, kama wewe na Azimio, hawataki kusikia!



5. Nakwambia akinusurika Gaza hili (Gaza), mwanaume!

6. Kwamba amelikanyaga?



7. Halimwachi salama!

"Wenye nguvu, wananchi!"
 
Karl Marx, dini ni kwa ajili ya wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Ukishindwa kufikiri unakimbilia dini ili baadae uwe na maisha mbinguni. Big up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…