Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,400
- 2,010
umemsahau " THE GREAT KHAN" Genghis Khan1) Mfalme Nero
2) Mfalme Nebuchadnezzar
3) Alexander the Great
4) Adolf Hitler
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umemsahau " THE GREAT KHAN" Genghis Khan1) Mfalme Nero
2) Mfalme Nebuchadnezzar
3) Alexander the Great
4) Adolf Hitler
MK254 ni miongoni mwa wamba wanaokiwasha sawasawa katika ujinga humu JF
1. Umekwitwa huku mara 800+, umebanish kimya tu?!
Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!
2. Kimya! Kama haupo vile. Kumbe upo unajipitia juu kwa juu kukimbilia kwenye viroja na vi mada uchwara?
3. Wacha kujisemea "hiiiiiii ..iii!" 🤣🤣
View attachment 2977387
4. Wanataka afungue chungu cha IEBC (server), siasa za ujanja ujanja Gaza, kama wewe na Azimio, hawataki kusikia!
View attachment 2977386
5. Nakwambia akinusurika Gaza hili (Gaza), mwanaume!
6. Kwamba amelikanyaga?
View attachment 2977385
7. Halimwachi salama!
"Wenye nguvu, wananchi!"
Kumbe aliua sana huyu
![]()
List of Killings Ordered or Supported by Muhammad
wikiislam.net
Kaitingisha moscow mwamba kanchi kadogo kanamsumbua mwaka wa 5 sasaVladimir Putin
Yeye china nzima iran korea kaskazin inapigana na ukraineUsisahau NATO NZIMA INAPIGANA NA PUTIN na NATO inaelekea kushindwa.
Huwa hueleweki unaandika nini.Ni kama unatafuna miwa barabarani.1. Kuliko hili linalotaka kufurushwa kutoka madarakani kama mbwa Koko (unceremoniously)? Tena, pamoja na kuwa na linaloaminika kuwa jeshi bora zaidi duniani!
Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!
View attachment 2977470
2. Kama lilipo sasa hivi litakuwa linajisemea: 'hiiiiiiiiiiii ... iii!" Sembuse mimarekani koko:
MK254, Yoda, Moisemusajiografii , Mzee Kigogo, PakiJinja, denoo JG , Mpaji Mungu na miisiraeli uchwara ya kwetu Buza?
3. imhotep kuna lile jamaa Huku, limekimbia Uzi. Kenya liliandamana eti kifunguliwe chungu, hayataki longo longo. Marekani chongo linaita kengeza .. ?🤣🤣
4. Bujibuji Simba Nyamaume Kuna majamaa huku:
"Huyo komando kalala yalimchokozq yenyewe Sasa yaiona kondo, yafunga miiango... X2 🎶🎼🎵🦿
Huyo Eddy Sheggy yalimchokoza yenyewe, Sasa yaiona kondo, yafunga miiango... X2" 🎵🎼🎶🦿
View attachment 2977465
5. Kimenuka!
View attachment 2977477
Unafananisha Muungano wa China,Iran na N.Korea!?Yeye china nzima iran korea kaskazin inapigana na ukraine
"Braza" Hitler alifeli alipoanzisha front na wazee wa vodka wakati alikua bado na front za moto na watoto wa malkia ,
Hata mageneral wake walipomshauri akawa hasikii la muadhana mwisho wake
Mbabe ni Mungu tu.1) Mfalme Nero
2) Mfalme Nebuchadnezzar
3) Alexander the Great
4) Adolf Hitler
NakaziaOngeza na Tundu Lissu hapo namba 5
Hata Urusi kasimama na Iran, Korea kaskazini na China anayemsaidia kukwepa vikwazo.Kama Ukraine angesimama peke yake, kama ambavyo mrusi alianza kwa kusimama peke yake... Basi Ukraine hadi sasa ingekuwa ni koloni la Urusi
Kutangaza vita na Marekani lilikuwa kosa jingine kubwa.Hitler alikosea sana hapa. Hii vita angeimaliza mapema mno. Hitler alipoona kaivamia poland na ufaransa mwaka 39 na 40, alidhani itakuwa rahisi kuivamia uingereza, hapo ndipo ilipomgharimu maana uingereza ilikuwa ni visiwa hivyo lazima gharama za vita zingeongezeka. Alidhani angemalizana na western front halafu vikosi aviwaishe eastern front ku deal na mrusi , lakini it was too late. Udhaifu wa hitler ni kutosikiliza ushauri wa majenerali wake wa kivita kama kina von kleist jinsi mambo yalivyo ground. Laiti angekuwa mtu wa kusikiliza ,ulaya ingeenda kuwa chini ya himaya ya THIRD REICH.
hapo ndipo alijichimbia kaburi. Huwezi ukapigana na 2 frontlines ukatoboa . Maana unakuwa umewekwa mtu kati. Mimi ningekuwepo kipindi hiko nikabahatika kumshauri, ningemshauri amalizane na urusi kwanza kabla ya kuanza kujibu west frontline.
5. Julius Caesar1) Mfalme Nero
2) Mfalme Nebuchadnezzar
3) Alexander the Great
4) Adolf Hitler
Mbona alianza simama na mchina chchiniya iran na korea kaskazini ila mwaka wa tano sasa toka siku3Kama Ukraine angesimama peke yake, kama ambavyo mrusi alianza kwa kusimama peke yake... Basi Ukraine hadi sasa ingekuwa ni koloni la Urusi
Hao ni wachache niliowataja nduguUnafananisha Muungano wa China,Iran na N.Korea!?
NATO ina mataifa mangapi!?
Zaidi ya 20+ nations hukutana kumpa silaha Ukraine.
Mbaya zaidi wanatuma hadi mercenaries na kupenyeza wanajeshi wao.
Russia ni Iran na N.Korea pekee ndio waliompa silaha.
Je hivyo vitu vina uwiano?
Hitler hakuanzisha vita na Uingereza, Uingereza ndio ilifanya declaration of war dhidi ya Nazi Germany.Hitler alikosea sana hapa. Hii vita angeimaliza mapema mno. Hitler alipoona kaivamia poland na ufaransa mwaka 39 na 40, alidhani itakuwa rahisi kuivamia uingereza, hapo ndipo ilipomgharimu maana uingereza ilikuwa ni visiwa hivyo lazima gharama za vita zingeongezeka. Alidhani angemalizana na western front halafu vikosi aviwaishe eastern front ku deal na mrusi , lakini it was too late. Udhaifu wa hitler ni kutosikiliza ushauri wa majenerali wake wa kivita kama kina von kleist jinsi mambo yalivyo ground. Laiti angekuwa mtu wa kusikiliza ,ulaya ingeenda kuwa chini ya himaya ya THIRD REICH.