Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 419
- 490
We ndo mpambavu,,,kipi hujaelewa apo mnakosoa vitu vidogo as if mpo makini kumbe mumejazwa pumba umo kichwani,,, ndo wale mliojazwa virai nomino hata havina product yoyoteMitahala = mitaala. Acheni mawazo ya kipumbavu
Umemaliza,,, hata udakitar hauhitaji kusomewa miaka 18 upo shule,,,, kama unajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza miaka miwili inatoshaHata iyo ya form four haihitajiki kwenye kutawala maisha elimu ya kujongea na kongea tu inatosha
Nilikuwa namwelewesha huyo anayesema form four tu inatosha degree Haina maanaNB:
Maarifa mengi yapo Kwa lugha ya kingereza na kichina ☺️☺️☺️☺️😊😊
Jidanganye kujongea na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂
Ndio mtu akiugua mnasema amelogwa akiwa tajir mnasema ana fuga misukule 😂😂😂😂
Umeandika upambavu,, unafikiri wote mliopitia chuo cha kati mna kazi? Mbona wapo walioenda six na ni wahindisi na wanamishahara mirefu kuliko nyiewahandisi tumekaapalee tunawachora tuu.maaamae zenu.
mlijifanya kwenda five mtatoboa mumeenda huko wengi vipanga wahesabu mkaangukia ualimu😁wasayansi sekondari
sisi tumeenda chuochakati tukachukua uhandisi chap tunakula maisha nyie kuleni chaki naukipanga wenu.
mwanao akimaliza kidatochanne achana namambo ya five mpeleke chupa chao chauhandisi alemaisha chap
Law ni utapeli wa degree mwingine ngoja nikwambie wenzako wanatoboa vipi kwenye law wanaingia kwenye siasa wanakuwa na kazi tofaut na hiyo waliosomea siku wakisikia imetangazwa ndo wanaingizwa kirahis ila freshers kutoka vyuon ni kazi bure hata wakipata ni kwa uchache mpaka wale wa kwenye system yao kama wanapeleaMbona law hujaitaja?
Degree ni usenge km usenge mwingine,Zinakuwa kama useless
Mwambie dogo aachane na huo ujinga anaenda kupoteza muda tu Bora amsaidie Mama yake kukuza biashara yake ya mgahawa hizo Pesa anazoenda kukopa amsomeshee aongezee kwenye mtaji aendelee na biashara yake sio kwenda kuifuata degree isiyokua na manufaa yoyoteNaungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
i
inategemea chuochakati umeenda kujifunza nini.hakuna mhandisi anaekosa kazi.
Sasa kwani kazi za wiring sio kazi kwa Muhandisi wa umeme ? Wewe ulitaka afanye kazi gani ?Hata engineering yenyewe ni kizungumkuti huwezi somesha electrical engineer hafu anakuja kufanya wiring. Au mechanical engineer anakuja kufungua gerage na civil engineer anakuja kua mchora ramani.
Duh!!!!.....Na degree za engineering pia umezisahau hasa hasa Civil Engineering kidogo na Electrical Engineering.
Mechanical engineering ya bongo ni utapeli tu. Kazi wanazozifanya ni zile zile zinafanywa na mafundi ambao hawajaenda shule.
Engineering zingine zote kwa bongo ni degree za kitapeli tapeli tu
Umewasahau Wahandisi wa Umeme.Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Naunga mkono hoja.Na degree za engineering pia umezisahau hasa hasa Civil Engineering kidogo na Electrical Engineering.
Mechanical engineering ya bongo ni utapeli tu. Kazi wanazozifanya ni zile zile zinafanywa na mafundi ambao hawajaenda shule.
Engineering zingine zote kwa bongo ni degree za kitapeli tapeli tu
Huna akili huko UN unaenda kuhutubia kuhusiana na marekani ambalo ndo takwa la UN kuendeleza mataifa makubwa huku ya chini yananyonywa huyo mzee aliendelea kwa sababu hakukubali kuwa kibaraka kama nyerereHuu uzi una comments za kipumbavu sana. Yaani watu wana mawazo potofu kuhusu elimu. Hela bila elimu haiwezi leta ukombozi kwa taifa. Wazee wa Kariakoo walikuwa wana hela za kutosha ila ilibidi wamweke Nyerere kama kiongozi wao ili kupigania uhuru kwa sababu elimu hawakuwa nayo. Mtu kama Kishimba anaweza hutubia mkutano wa UN? Vijana wanakata sana tamaa.
Mkuu bado upigaji upo kwa mfano wanaojenga madaraja elimu aliosoma shule pale inatumika kwa asilimia ngapi kama sio 5 tu,,,shuleni tumepitia kukalukuleti vitu ambavyo hata havionekan hata wanaofundisha hawajwahi kuvionaNaunga mkono hoja.
Kuhutubia UN kutamsaidia nini kishimba?Huu uzi una comments za kipumbavu sana. Yaani watu wana mawazo potofu kuhusu elimu. Hela bila elimu haiwezi leta ukombozi kwa taifa. Wazee wa Kariakoo walikuwa wana hela za kutosha ila ilibidi wamweke Nyerere kama kiongozi wao ili kupigania uhuru kwa sababu elimu hawakuwa nayo. Mtu kama Kishimba anaweza hutubia mkutano wa UN? Vijana wanakata sana tamaa.
Nakubaliana na wewe 100%Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Kwanza hata walichokisomea hakitumiki.....ni kazi ambayo mtu wa kawaida anaweza fanya.Degree zenye maana ni zile zimebase kwenye kitu mahususi tuu kama ulivyosema udaktari, ualimu, engineering yenyewe inakuja inakataa hivi.
Hizi nyingine sijui Human resource, public administration ni utapeli tuu ndo zinatuzalishia wakina february.
Labda wabadili content lakini hadi sahivi zimeprove nothing uraiani.
Wanaojenga sasa hata sio waliosoma.Yaani hizo construction zinazofanyika bongo na hiyo degree ya miaka minne haendani kabisa.