High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Haitakaa itokee hicho unachosema. Wewe ni mtu mwenye elimu duni unayeonea wivu waliosoma. Punguza chuki na hasira. Jipange urudi shule. Kuwachukia waliosoma ni aina mojawapo ya uchawi.
Mkuu ni zaidi ya uchawi kabisa