Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

Zile sms zakualikana uwanjani mbona zilitosha kutua hizi taarifa
Au basi watumie televisheni ya taifa kutupa taarifa na vyombo vingine vya habari vingealikwa
Tunasubiri shughuli ingine basi
 
Mada imeandikwa kuwa mwaka 2025 watu watakuwa 67m hiyo ni ongezeko la watu 6m kutoka idadi ya leo. Sasa itakuaje kwa miaka 25 (2025-2050) watu waongezeke kwa 60m wakati kwa miaka 10 (2012-2022) watu wameongezeka sio zaidi ya 12m.?
Hakuna sehemu serikali imesema watu watakuwa milioni 150
 
Hiyo ongezeko la watu milioni 19.8 Mbona sio sahihi?
 
Bora umewambia kuna watu wanadhani hela zinapatikana mtaani kutoka mbinguni,hawajui kuwa serikali isipo spend hela hata mtaani zitakosekana.
 
Bora umewambia kuna watu wanadhani hela zinapatikana mtaani kutoka mbinguni,hawajui kuwa serikali isipo spend hela hata mtaani zitakosekana.


Hili somo humu Sana Kwa mijitu inayopenda kukosoa kila kitu
 
Daaah hizo hesabu zao zipo sawa kweli!!!! Mboni wanichanganya jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…