Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120

Yaleyale ya Makamba!
Hujui kuwa kabla ya kutangaza matokeo leo usiku kuna watu wamekufa 😁😁😁🀣 labda kawatoa hao.
 
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akitangaza matokeo ya Sensa Mwaka 2022

Ameainisha kuwa, kwa sasa nchi ina watu 61,741,120.

Dar es Salaam ikiwa na watu 5,383,728 ambayo ni 8.7% ya idadi ya watu kwa nchi nzima.

⁃ Mwanza ikiwa na watu 3,699,872 ambayo ni 6% ya idadi ya watu kwa nchi nzima
 
Tuko vizuri
Your browser is not able to display this video.
 
Nikweli, kamanchi tuko kwenye hatari ya njaa kali huku viongozi wanaitana eti kusoma taarifa... shame!!
 
Mtaachaga lini kulalamika? Kutwa kucha... Wewe umetimiza ya familia yako yote?

Mimi mwenye napingana na mambo mengi tu yanayoendelea, lakini si kila taarifa ya Serikali ni kupinga pinga tu
 
Sio MAJIJI yenye watu wengi ni MIKOA YENYE WATU WENGI MZEE.
MWANZA INA WILAYA ZAKE KIBAO AMBAZO HAZIPO KWENYE JIJI.
 
Nawasalimu kwΓ  jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Asee huku sio poa kabisa. Nipo uwanjani hapa, jua kali kinoma, sauti ndogo, bora nitoke nikatizame kwenye Tv

Naamini kwenye tv mtakua mnaenjoy sana.
Kuenjoy nini hasa
 
Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120

Yaleyale ya Makamba!
Data zako uhalali wake wa kisheria na kitaaluma ni upi hadi uchallenge za Mhe. Rais? Tuwekee hapa.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Huo ni uongo mkubwa, yani ety kutoka 2025 mpaka 2050 tuwe zaidi ya watu 150m 😳 yani kwa miaka 10 watu wameongezeka 10m sasa kwa miaka 25 itakuaje waongezeke watu 60m.? Watu mnaleta siasa hadi kwenye uhalisia.
 
Binadamu bwana,sasa jamani si ndio pesa inazunguka hivi...kuna watu leo familia zao zitaenda chooni..ndio mambo ya riziki yalivyo..kuna watu leo Mungu kajibu maombi yao kupitia hili tukio! .
 
Pesa hizo pia zukitibu wagonjwa au kupeleka maji kijijini kipi nafuu sasa
 
Huo ni uongo mkubwa, yani ety kutoka 2025 mpaka 2050 tuwe zaidi ya watu 150m 😳 yani kwa miaka 10 watu wameongezeka 10m sasa kwa miaka 25 itakuaje waongezeke watu 60m.? Watu mnaleta siasa hadi kwenye uhalisia.
Fertility rate inaongezea,last sensa ilikuwa 2.7 na Kwa hesabu za Leo iko 3.2 so inazidi kuongezeka maana vijana ni wengi na wanaokufa wanakuwa wachache..
 
Huo ni uongo mkubwa, yani ety kutoka 2025 mpaka 2050 tuwe zaidi ya watu 150m [emoji15] yani kwa miaka 10 watu wameongezeka 10m sasa kwa miaka 25 itakuaje waongezeke watu 60m.? Watu mnaleta siasa hadi kwenye uhalisia.
Ulitumia kiungo gani kusikia?
Hakuna sehemu wamesema Tumeongezeka 10mil

Ongezeko ni watu milioni 16+ ndani ya miaka 10

Matarajio ni kufikia watu 100+mil mwaka 2050
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…