Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkoa wa DSM unaongoza kwa watu nchini, wapo 5,383,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini, na mkoa wa pili ni mwanza wenye wakazi 3,696,872 sawa na asilimia 6.
Acha uongo...Mwanza mjini ina watu wachache sana
2012 ilikuwa na 750000, this time probably itakuwa 1.2 million , ni miji miwili tuu ambayo ina above one million people , nayo ni DSM and her sister Mwanza aka Ngosha cityMwanza mjini ina watu wachache sana
kwa kweli inasikitisha sana. Yaani serikali ya mtaa bara ni jimbo la uchaguzi zanzibar lina mwakilishi na mbunge wa JMTWanazidiwa na Mbagala
Leo hii tumefika ukingoni mwa zoezi la sensa tulilofanya kwa ufanisi mkubwa. Sensa hii imefuata vigezo vyote vya kimataifa.
Fertility rate inaongezea,last sensa ilikuwa 2.7 na Kwa hesabu za Leo iko 3.2 so inazidi kuongezeka maana vijana ni wengi na wanaokufa wanakuwa wachache..
Mada imeandikwa kuwa mwaka 2025 watu watakuwa 67m hiyo ni ongezeko la watu 6m kutoka idadi ya leo. Sasa itakuaje kwa miaka 25 (2025-2050) watu waongezeke kwa 60m wakati kwa miaka 10 (2012-2022) watu wameongezeka sio zaidi ya 12m.?Ulitumia kiungo gani kusikia?
Hakuna sehemu wamesema Tumeongezeka 10mil
Ongezeko ni watu milioni 16+ ndani ya miaka 10
Matarajio ni kufikia watu 100+mil mwaka 2050
Unaelewa maana ya fertility rate? Nimekwambia fertility rate inaongezeka kadiri tunavyosonga mbele kwa lugha rahisi ita double..Mada imeandikwa kuwa mwaka 2025 watu watakuwa 67m hiyo ni ongezeko la watu 6m kutoka idadi ya leo. Sasa itakuaje kwa miaka 25 (2025-2050) watu waongezeke kwa 60m wakati kwa miaka 10 (2012-2022) watu wameongezeka sio zaidi ya 12m.?
Ongezeko kubwa la watu lisiloendana na uwezo wa rasilimali za kuwatosheleza au huduma muhimu ni hatariSio haba, nguvu kazi tunayo ya kutosha.
sasa tupange maendeleo.
kutoka mwaka 2012 hadi 2022 kuna ongezeko la watu 16, 812,197 sawa na 3.2%