Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

Nimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...

Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
Yaani wewe unaonekana school ulikuwa unamaliza pamphlets
 
DJK786TMNO IMETHIBITISHWA UMEPOKEA TSH,100,000 KUTOKA KWA....

kama dk mbili tu nikaambiwa, 'baby i love you nimekumiss sana njoo bhana sasa hivi',,
 
DJK786TMNO IMETHIBITISHWA UMEPOKEA TSH,100,000 KUTOKA KWA....

kama dk mbili tu nikaambiwa, 'baby i love you nimekumiss sana njoo bhana sasa hivi',,
Hahaha umeua mkuu[emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: CTX
Moyo wangu umekudondokea,, njoo tuunganishe makojoleo!
Umenikumbusha mwl wangu wa o-lever alipenda sana kutumia huu mstari kutuonya tuache kuwadanganya mabinti wa watu kwa kuwaambia moyo wangu umekudondokea.
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kwa hiii hachomoi mtu
Nimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...

Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
 
Nimevutiwa na kufurahishwa na haiba yako ya kimalkia,unaonekana u mwanamke unaejiheshimu na kujali,kujitambua kwako kunakupa thamani zaid na tunu ya kuheshimiwa,nimeona unavyowajali wale watoto nikapata hisia je wangekua wakwako ungekuaje?unafaa kua mke,nahis kila MTU anataman kua na mke anaejal kama wewe,maadamu ktk nafs yangu naheshimu watu wiwili tu ktk hii dunia,mama mzaz alkenibeba na mke atakaekuja kua kama mama yang kwa upendo alionionyesha,wewe unakila dalili ya kua kama yeye,naomba hyo nafss nawe nikufanye malkia ktk ulimwengu huu...

Asee Leo tuna miaka tano ya ndoa....
Dah.... Hapa lazima akubali....
 
Nimejaribu mara nyingi kuiambia nafsi yangu kile nikiwazacho si halisi na si ukweli lakini kila mara imekua ikinisuta na kuniambia niseme ukweli wa moyo wala nisifiche maana ndipo amani itanijia " hakika nimeshindwa kujizuia tena naona leo niweke bayana Salma moyo wangu unakuhitaji na unatamani siku zote uwe karibu yangu na niwe nawe mpaka uzeeni kwangu maana nafsi yangu imetekwa na uzuri wa tabia zako na umbo lako pia hakika wewe ndo yule niliyekuwa nikimsubiri siku nyingi , naamini hakuna aliyekamilika ila kwa asilimia kubwa umeshinda zabuni ya kuumiliki moyo wangu ,nakupenda salma na ntahisi kuumiliki ulimwengu wote endapo utakubali kuungana nami salma ,,,,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu naaamini upo ndoani nae kwa miaka kadhaa, sio kwa visawe hivi
 
hakuna powerful statement wakati wa kumtongoza mwanamke kama kumuahidi utamuoa (ndoa)...jaribu hii mbinu utanambia..lakini wakati unadondosha mstari huu lazima ujivalishe sura ya kumaanisha,sio ile mpk anajua kbs kama unamzuga. eg.

"Dada sio siri umenivutia sana,na ni muda sasa nimekuwa nikimtafuta mwanamke ambae nitaanzisha nae uhusiano ambao ni serious,nazani wewe ni mtu sahihi kwa ajili hiyo, kwani nimeanza kuzifuatilia nyendo zako kwa muda sasa na nimejiridhisha hakika kwamba unafaa kuwa mke bora...Kiufupi nataka kukuoa na utaponikubalia tu,basi baada ya muda mfupi jiandaeni kupokea wageni/washenga nyumbani kwenu ili kuja kutimiza azma yangu hii."

Wallahi kama utayasema haya ukiwa serious,kama hajakujibu siku hiyo hiyo positively basi haimalizi wiki atakutafuta na kukupa jibu zuri hapo baada ya kuenda kujifikiria kidogo,maana hawa wana mila yao ile ya kike yaani Lazima kuringa kidogo.
 
Back
Top Bottom