Senzo aomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga, Akubaliwa ombi lake

Senzo aomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga, Akubaliwa ombi lake


Afisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Bw Senzo Mazingiza ameomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga kwa sababu za kifamilia

Kutokana na ombi hilo kamati ya utendaji ya Yanga ilikutana leo katika Hotel ya Serena na kukubali ombi hilo la Bw Senzo

Mkataba wa Senzo na Yanga unamalizika tarehe 31/07/2022

Yanga yamteua Wakili Simon Patrick kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mpito
Nilianza kumdharau sana kwa kuacha kazi Simba sababu ya Morrison, alafu kampokea utopolo
 
Pengine yanga wamemleta Morrison kimkatakt ili kumtoa senzo kwa akili pia mnk nasikiaa pia anabeba mshahra mkubwa
 
Huyu ameamua kupishana na Morrison toka akiwa Simba na sasa Yanga.

Kuna kitu hakiko sawa yaani..!
 
Mimi nilijua ukiona viongozi wa Simba wamekataa kufanya kazi na ww ujue utakuwa una shida nilishangaa utopolo walivyompokea nikajisemea huyu anaondoka haikai Utopolo wananongwa sana
Mkiona Simba kamfukuza mtu msikurupuke tafuteni na nyinyi viongozi wenu haji manara tutakukukumbuka kwa maneno yako yenye maana ukimtoa kikwete na baba manara mashabiki wote wa utopolo hawana akili yaan sisi Simba kiongozi afukuzwe Yanga halafu sisi tumchuke huo ujinga hatufanyi
 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Bw Senzo Mazingiza ameomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga kwa sababu za kifamilia

Kutokana na ombi hilo kamati ya utendaji ya Yanga ilikutana leo katika Hotel ya Serena na kukubali ombi hilo la Bw Senzo

Mkataba wa Senzo na Yanga unamalizika tarehe 31/07/2022

Yanga yamteua Wakili Simon Patrick kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mpito
Ila mpira wa kibongo kama ukiwa na uweledi mkubwa ni ngumu sasa kidumu kwenye hizi club kubwa tunapenda ujanja ambao hautusaidii.
 
Alikuwa anawaambia Uongozi wa Yanga tumdhibiti huyu lopolopo majabu wao ndio wanamkumbatia toka akiwa Simba alisema huyu anaharibu image ya timu kwa matusi yale ya lopolopo ulitegemea Senzo atabaki na majuha wa pale Utopolo
Manara hajamtimua Senzo, kama kawaida ukiona hivyo kuna viongozi mambo yao hayaendi.

We unazani Kassim Dewji zile kelele anazipiga unazani kaonewa ila ukichimbua kuna mambo yake haya endi, we subiria tutasikia chanzo ila nina uhakika sio Manara.
 
inbound3095640998611326259.jpg
 
Kwan mchakato wa yanga ushapitishwa na Fsisi ? Binafsi naona kama yanga wata angukia ktk mtego ule ule wa simba tu. Hasa hasa kile cheo cha juu pale kitaleta uwalakin ni either jamaa akubali kuachia cheo chake cha salamanda mapemaaa kabla jambo halija fika Fsisi
 
Amewasaidia utopolon wame pata deal la 4B per yr, + deal la azam tv
 
Alikuwa anawaambia Uongozi wa Yanga tumdhibiti huyu lopolopo majabu wao ndio wanamkumbatia toka akiwa Simba alisema huyu anaharibu image ya timu kwa matusi yale ya lopolopo ulitegemea Senzo atabaki na majuha wa pale Utopolo
Leo Senzo amekua mzuri? hivi nyie hio mimba ya kiherehere mtazaa lini?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom