Senzo aomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga, Akubaliwa ombi lake

Senzo aomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga, Akubaliwa ombi lake

Ametutoa mbali sana.

Leo hii tusingefikia "Mabadiliko kamili ya uendeshaji wa klabu bila yeye"

Amekuja amekuta klabu ikiwa na mapato ya mwaka Bil 1.8.

Anaondoka akiwaacha wanajangwani wakiwa na vyanzo vya mapato vya mwaka vyenye thamani ya Bil 9.9
SportPesa wapo kabla ya Senzo. Azam wapo kabla ya Senzo. Taja vyanzo vipya vya mapato alivyochangia Senzo kuviketa nje ya vile vya GSM.

Actually Senzo ameshindwa kuvumilia kuwa pale Yanga Kama kinyago huku maamuzi yakifanywa na wengine wenye Pesa yaani gsm.

Ni kama alivyoondoka pale Simba. Huwezi kukubali kuwa club CEO huku huna "say" ya aina yoyote kwenye mipango ya uendeshaji wa club. Ni kuifuja thamani yako. Au kula mshahara wa bure bila kuufanyia kazi Ni wabongo tu ndio tunaweza.
 
Image ipi ameharibu ,toka Manara afike kampuni zimefurahia Yanga Afrika mikataba mikubwa imesainiwa,washabiki wanafurika kwenye shughuli za Yanga na mataji Kama yote.jezi zinagomambaniwa unataka Nini zaidi?
Muulize chuplichupli Kama ameweka mzigo wa bilioni 20 hati ya umiliki hisa 49%tumemkabidhi na safu ya uongozi amepanga yeye.mwenyekiti Hana meno amebaki kufungua na kufunga vikao
Kwahiyo kwa akili zako ndogo, mikataba na madili yaliyopatikana Yanga Sc ni kwa upeo wa Manara?

Kwa elimu gani aliyonayo yule?
 
Amewasaidia utopolon wame pata deal la 4B per yr, + deal la azam tv
Kuna madai yanasema Senzo hajataka ufisadi wa mchana kweupe. Dili ya SportPesa Ni bilioni 3 ndiyo inakuja club. Hiyo moja inaenda wapi!? Kakataa kuwa sehemu ya ufisadi.
 
Image ipi ameharibu ,toka Manara afike kampuni zimefurahia Yanga Afrika mikataba mikubwa imesainiwa,washabiki wanafurika kwenye shughuli za Yanga na mataji Kama yote.jezi zinagomambaniwa unataka Nini zaidi?
Muulize chuplichupli Kama ameweka mzigo wa bilioni 20 hati ya umiliki hisa 49%tumemkabidhi na safu ya uongozi amepanga yeye.mwenyekiti Hana meno amebaki kufungua na kufunga vikao
Manara hakukosea kusema "pale utopolo wenye akili wawili tu". Wewe ndio umethibitisha kabisa kuwa Hilo bichwa lako limejaa kamasi tu.
 
Ujinga wa mtu unategemea watu anaowazunguka ukichukia wajinga 10 ukawapa mtihani utapata wa kwanza mpk wa mwisho
Simba kwa tulipofika hatuwezi kumchukuwa kiongozi aliyefukuzwa Yanga ili kuwafurahisha mashabiki ila Yanga wanaweza mm nilijua Senzo amechukuliwa na Yanga ili kama kuwakomoa Simba na kuwafurahisha mashabiki ila sio kwa ajili ya mikakati ya timu ulitegemea angebaki?
Huo ndio ujinga wa utopolo wanachukuwa mizoga iliyoachwa na Simba hamna tofauti na fisi maji nyie
Utopolo fasta wakatengeneza cheo Feki Cha CEO ili kumu_accomodate Bwana Senzo. Ila muda Ni mwalimu mzuri, tumeona kilichotokea.
 
Nampongeza Senzo kwa Kuishi Tanzania,Kujifunza na Kuongea Kiswahili,anaenda kuwa balozi mzuri wa Kukitangaza Kiswahili.

Tanzania tupo vizuri, mpaka sasa ukiondoa Afrika kusini na nchi za Kaskazini(waarabu) sisi ni kimbilio la wachezaji wa mpira wa mogul kutoka nchi jirani,na zingine za afrika.

Ombi kwa waandishi wa habari, mkipata fursa ya kufanya mahijiano na Senzo muulize ametumia njia gani kujifunza,kujua na kuongea kiswahili.
 
.
 

Attachments

  • 1659277592630.jpg
    1659277592630.jpg
    34.8 KB · Views: 3
Kama nabi akidumu msimu huu niiteni zumaridi...hakuna mzungu mwenye akili anaweza fanya kazi na manara na mori mori
 
Back
Top Bottom