kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Umesoma nilicho quote?Soma maelezo uelewe sio kukurupuka
Image ipi ameharibu ,toka Manara afike kampuni zimefurahia Yanga Afrika mikataba mikubwa imesainiwa,washabiki wanafurika kwenye shughuli za Yanga na mataji Kama yote.jezi zinagomambaniwa unataka Nini zaidi?Alikuwa anawaambia Uongozi wa Yanga tumdhibiti huyu lopolopo majabu wao ndio wanamkumbatia toka akiwa Simba alisema huyu anaharibu image ya timu kwa matusi yale ya lopolopo ulitegemea Senzo atabaki na majuha wa pale Utopolo
Unaleta kiherehere kwenye kila kitu utapigwa doleWabongo hua mnajua kila kitu umesikia wapi mshahara wa mtu?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Manara anasema ukimtoa kikwete na baba ake mashabiki wa yanga waliobaki hawana akili unadhani alikosea kusema hivyoImage ipi ameharibu ,toka Manara afike kampuni zimefurahia Yanga Afrika mikataba mikubwa imesainiwa,washabiki wanafurika kwenye shughuli za Yanga na mataji Kama yote.jezi zinagomambaniwa unataka Nini zaidi?
Muulize chuplichupli Kama ameweka mzigo wa bilioni 20 hati ya umiliki hisa 49%tumemkabidhi na safu ya uongozi amepanga yeye.mwenyekiti Hana meno amebaki kufungua na kufunga vikao
YawwzekanaManara hajamtimua Senzo, kama kawaida ukiona hivyo kuna viongozi mambo yao hayaendi.
We unazani Kassim Dewji zile kelele anazipiga unazani kaonewa ila ukichimbua kuna mambo yake haya endi, we subiria tutasikia chanzo ila nina uhakika sio Manara.
Ujinga wa mtu unategemea watu anaowazunguka ukichukia wajinga 10 ukawapa mtihani utapata wa kwanza mpk wa mwishoLeo Senzo amekua mzuri? hivi nyie hio mimba ya kiherehere mtazaa lini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Acha ujuaji mshahara wa mtu unajuaje au wewe ni mkeweUnaleta kiherehere kwenye kila kitu utapigwa dole
Hasira za nini mama?Ujinga wa mtu unategemea watu anaowazunguka ukichukia wajinga 10 ukawapa mtihani utapata wa kwanza mpk wa mwisho
Simba kwa tulipofika hatuwezi kumchukuwa kiongozi aliyefukuzwa Yanga ili kuwafurahisha mashabiki ila Yanga wanaweza mm nilijua Senzo amechukuliwa na Yanga ili kama kuwakomoa Simba na kuwafurahisha mashabiki ila sio kwa ajili ya mikakati ya timu ulitegemea angebaki?
Huo ndio ujinga wa utopolo wanachukuwa mizoga iliyoachwa na Simba hamna tofauti na fisi maji nyie
Senzo toka msimu uliopita aliomba kuondoka,kuna deal kwao huko zuri kushinda Yanga,akaombwa tu abaki mpaka uchaguzi upiteMorrison alivyokuja Yanga nahisi ndio sababu ya Rasta kusepa
SENZO BYE BYE YANGA AFRIKA 🚨
Afisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Bw Senzo Mazingiza ameomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga kwa sababu za kifamilia
Kutokana na ombi hilo kamati ya utendaji ya Yanga ilikutana leo katika Hotel ya Serena na kukubali ombi hilo la Bw Senzo
Mkataba wa Senzo na Yanga unamalizika tarehe 31/07/2022
Yanga yamteua Wakili Simon Patrick kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mpito
Sababu ni mambo ya kifamilia hayo mengine ni ubashiriSenzo toka msimu uliopita aliomba kuondoka,kuna deal kwao huko zuri kushinda Yanga,akaombwa tu abaki mpaka uchaguzi upite