Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Hiyo ni lugha ya fumbo kwamba waalimu hamna ajira tafuteni ajira zingine au rudini vyuoni msome fani zingine ambazo zina Market kwasasa........kungangania na bachelor yako ya ualimu ni kupoteza mda na kuendeleza jmasikini.
Kwa hiyo hawana Imani na vyuo vyao?
 
S

Sio kupita wote wizara iajiri kama zamani mtu hata akikosa anajua awamu nyingine nitaweza kutoboa lakini sasa mtu anaonekana kama hakuna anachoweza
Kwan kukiwa na usaili ndo hakuna awamu nyngn? Au kisa una 0 ndo unajua habari yako imeishia hapo 😂
 
Kwani mkenda ali'graduate mwaka gani? Kipindi ualimu ni deal ndo kasoma, sasa hivi waalimu wamezagaa kama nyanya sokoni ni kibaya zaidi wengi ni watoto wa wakilima peasants hawana plan B zaidi ya kuajiliwa na serikali tu.
Wazo hilo kwa vile hujasomesha
 
WAPUMBAVU NYIE WAACHENI WATU WA ELIMU NA WALIMU WAJIFANYIE MAMBO YAO MLITAKA UALIMU BILA INTERVIEW ILI MKAICHAFUE KADA YA UALIMU IONEKANE YA KIPUUZI...
Mmewatukana sana walimu, mlivyo ona ajira zimekuwa ngumu mkakimbilia kusoma ualimu huku hamuipendi hiyo kada, mliamini mkisoma ualimu mtapata kazi kiurahisi serikalini...
Sasa serikali imegundua kuna wapuuzi wengi wamesoma ualimu ila hawaupendi lengo lao ni kwenda kazini kula mshahara...
Sio kweli unapotosha !
 
Mkuu usiseme hivo, usione wajinga kwamba hayo yote hawayafikirii..Jaribu kuvaa viatu vyao na kama ww ulipata nafasi ya kuepukana na hiyo changamoto basi shukuru tu Mungu kisha ukae kimy.
Kukaa kimya pia ni ujinga
 
Yn mpumbavu mmoja amekaa mtaani miaka 10 ety anasubiri kuajiriwa ualimu serikalin 😂

Utumishi naombeni waalimu wafanye usaili kila baada ya mwaka ht kama ameajiriwa afanye tena usaili, akifeli aondolewe waajiriwe waliofaulu.
 
Hiyo ni lugha ya fumbo kwamba waalimu hamna ajira tafuteni ajira zingine au rudini vyuoni msome fani zingine ambazo zina Market kwasasa........kungangania na bachelor yako ya ualimu ni kupoteza mda na kuendeleza jmasikini.
Siyo kwamba ajira zitengenezwe? Nyie watu kuweni serious!

Pamoja na kukubali interview Bado Waziri kama mmoja wa wafanya maamuzi kwenye baraza la mawaziri na kama mchumi anatakiwa kulaumiwa kwakutegenea ajira ambazo hazikutengenezwa Bali zimelazimika tu. Msitetee uzembe. Waziri wa Utumishi kasema 40% ya wafanyakazi wa serikali ni mzigo, na mmoja kati ya hao ni wao ambao wameshindwa kutengeneza ajira lakini Bado wapo ofisini wakitegemea miujiza
 
Tatizo plan b hamna mnataka kufanya kazi serikalini. Huu ujinga wa kuajiriwa na serikali umewalemaza sana watanzania.
Acheni mizaha kazi ya serikali yeyote duniani ni kutengeneza ajira Kwa watu wake
 
Kila mtu, ashinde mechi zake, kaza msuli bhana, na bado walimu mtalia, na akili zitakuja, siyo kutumika tu, kuiba kura za upinzani.
Hii hata Mimi na support...Waalimu wenye ajira wanatabia za ajabu ajabu sana
 
Back
Top Bottom