Uchaguzi 2020 Sera ya majimbo itaua utaifa na uzalendo

Wewe rudia kuisoma sera uielewe.
Maana yake halisi ni kuwa watu wenyewe kwenye maeneo yao, yawe mikoa au wilaya, ndio wawe wanachagua au kuwateua viongozi wao, kama wakuu wa mikoa, wilaya na halmashauri.

Pia maeneo hayo, pamoja na Bunge, viongezewe madaraka ya kuamua badala ya Rais pekee.
 
Mfumo wa Majimbo utakuwa na athari hasi kwa Muungano wetu tuwe makini
Maana yake halisi ni kuwa watu wenyewe kwenye maeneo yao, yawe mikoa au wilaya, ndio wawe wanachagua au kuwateua viongozi wao, kama wakuu wa mikoa, wilaya na halmashauri.

Pia maeneo hayo, pamoja na Bunge, viongezewe madaraka ya kuamua badala ya Rais pekee.
 
Maana yake halisi ni kuwa watu wenyewe kwenye maeneo yao, yawe mikoa au wilaya, ndio wawe wanachagua au kuwateua viongozi wao, kama wakuu wa mikoa, wilaya na halmashauri.

Pia maeneo hayo, pamoja na Bunge, viongezewe madaraka ya kuamua badala ya Rais pekee.
 
Okey okey jimboni kwa January makamba hakuna hata lami ya kwenda kwenye choo cha ded sababu ni uwepo wa serikali ya majimbo amma nn twende kwa hoja?
Wakatoriki wana majimbo ya kiutawala ni masikini na wana migawanyiko wale?
South Africa wana majimbo ni masikini?
Okey okey jibu hoja acha ujinga wako kama jiwe
 
Hata kinachofanyika sasa ni aina ya majimbo kwanamna tofauti ila ili tunaita Jimbo kuu la ikulu kwasababu Ikulu ndio jimbo lenyewe alafu yenyewe ndio inaamua wapi pakupeleka nini.Sasa kuna ubaya gani tukiwa na majimbo mengi nchi nzima yakuhudumia maeneo yao.Ukishakua na kanda zakuzalisha na kutumia kwamatumizi sahihi nazile ambazo hazizalishi zikichangiwa kwauwiano sawa kuna ubaya gani hapo.Au unataka mambo yakila anayekaa jumba jeupe ndiye aamue atakavyo?
 
Kwa yoyote anaeifahamu hii sera vizuri hawez ipinga. Ikumbukwe majimbo sika mkoa. N zaid ya mikoa kadhaa na mikoa yote ya tanzania inautajiri haswa. Mtoa post inawezekana nawe n mwoga na hujui sera ya majimbo ikoje. Hebu kaitafute then uje utoe maelezo ya kina
 
Mkuu sidhan ka issue ya majimbo n mbaya. Ubaya n kuwa watu hawajaifuatilia na wameanza kuingiziwa propaganda. Mbona nchi nying zina utawala wa majimbo na maisha yanaenda kama kawaida?
 
Nimeona u miongon mwa mnafahamu sera ya majimbo. Keep it mkuu si ka wale wasemai italeta ukabila na umasikin.
 
Tatizo kubwa siasa inaturudisha nyuma kwa kutoelewa nini maana yake.! Kabla ya kukataa majimbo tafakari na kuelewa nini maana yake.
Huduma ya kimaendeleo inakuwa karibu sana na wananchi wa eneo husika na kuwajibika kwa waliowachagua wenyewe.
Hii ya kumfanya mtu mmoja kumiliki kila kitu kugawa hela anavyotaaka haitujengi ukweli upo.
 
Hoja yako hasa ni nini? UN inagharamia sawa nakubali so nachotaka kukuelewesha ni dhumuni la kuundwa AU mojawapo ni kuzilinda nchi wanachama zinapokumbwa na mzozo wa kugawa nchi vipande viwili
AU ni ka mbwa wa mapambo
 
Oh asilimia kubwa ya watu wanaitikadi za chama na hawajawahi fuatilia issue ya majimbo kwahiyo wakiambiwa chochote wanaitika yafaa wafundishwe issue ya majimbo ipoje maana unaweza poteza energy yako kutoa fact mtu hata hajui chochote. Mkuu hao vilaza nimekuachia ujaribu wafundisha
 
Kama hujui mfumo wa sasa ni mbaya kiasi gani nenda vijijini. Utashangaa miaka 59 tumefanya nini! Kuna umaskini wa ajabu na badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma! Mungu tusaidie!
 
Huo utaifa upo? Katika kipindi hiki cha Jiwe kuna utengano mkubwa sana miongoni mwa watanzania! Kwake yeye ukichagua upinzani basi hilo jimbo halitapata maendeleo kamwe! Ni mfumo wa majimbo pekee utakaoondoa aina hii ya usultani!
Wenye uelewa na masuala ya Tanzania huwezi ukawauzia sera ya majimbo halafu wakaendelea kukusikiliza.
 
Angalau wewe umejaribu kuongea kwa lugha ya ushawishi.
 
Sizungumzi kuhusu kuwakilisha hapa.

Ninazungumza kuhusu MAMLAKA YA SERIKALI ZA MITAA kuwaletea wananchi wake maendeleo bila kusubiri huruma za magufuli.

Kila kitu Rais Rais Rais Rais. Mtu mmoja anakuwa MUNGU wa nchi nzima, uliona wapii?
Unaposikia Rais Rais uelewe kuwa hao wanaosema hivyo wanayo majukumu yao pia.

Wanaopigiwa kura wanazo kazi za kufanya,wanalo jukumu la kuwa wabunifu.

Kila mtu akitimiza wajibu wake hii nchi itapaa kiuchumi.
 
Hii si mbaya kama watu wanavyoifikiria, tena itasaidia maeneo mengine kukua sio hela zote zinazopatikana zinapelekwa chato, kuna maeneo ambayo yanachangia kuingiza hela nyingi sana kwenye uchumi ila yamebaki kua mashamba hayaendelezwi, hela yanayoleta zote zinaingia kwenye kununua ndege kwa cash au kujenga uwanja wa ndege chato.
 
Geita ilipo chato unajua kuna migodi ya dhahabu mikubwa inayoingizia nchi Mabilioni ya pesa za kigeni ? Au unadhani chato ni singida wanakotegemea mauzo ya alizeti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…