Serekali ndio nini mkuu??
Anyway basata ni kikundi ambacho kipo chini ya mamlaka ya shetani, hivyo usione ajabu kuona wasanii wakicheza wakiwa wamevaa chupi / boksa tu, tena usione ajabu wasanii wakiimba lugha za matusi na wakapewa kibali cha kutoa video hiyo, maana haya yote ni mapenzi ya yule mwaribifu.