robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Kupatwa kwa kanda ya ziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah, pole zake, uo uchu ulikuwa mpana kiasi gani hadi panga linaingia. ila sisi wanaume tupo type za ajabu, kuna wenzetu wakatili kupita wanyama.Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .
Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea
USSR
Mie Mkurya ila siwezi fanya hivyo. Ni bora nipotee maishani mwake Iwapo ninasalitiwa.Mmeo Mkurya halafu unachepuka.
Kuua hapana ni heri aishi na ajutie usaliti wake.Kwaiyo panga imezamishwa ndani mbususu!! Baghoshaa si tulielewana kutumia risasi ?
Ukileta ufala huku tunakunyonya macho.mambo ya diplomasia kwenye mapenzi tumewaachia nyie mazezeta wa pwani hukoMhh, Watu wa Mara hasa Wakurya ni Makatili Sana.
Matukio yote scary huwa yanatokea huko, na bila serikali kuingilia kati wala jamii haitajali.
Wewe Mwenyewe sio mstarabu. Aliekukaririsha kuwa wote ni wakatili ni Nani? Shame on you.Mhh, Watu wa Mara hasa Wakurya ni Makatili Sana.
Matukio yote scary huwa yanatokea huko, na bila serikali kuingilia kati wala jamii haitajali.
Hiyo mbususu itakuwa haifai tena kwa matumiziSasa atafungwa na ule mchepuko utakuja free.
Mchepuko uje kufanyaje hapo wakati Mali imechanwa..Sasa atafungwa na ule mchepuko utakuja free.
Ameshautia panga kule chini!!Sasa atafungwa na ule mchepuko utakuja free.
Ukuryani hawezi kufungwa.Sasa atafungwa na ule mchepuko utakuja free.