Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
CHANZO Serengeti Media Centre na Antomatv Online
 
ulipoikopi wamepindish pindisha dah
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
 
Inasikitisha sana huyu mwanaume licha ya wivu anaukatili hatari.Kama vp bora angemwambia waachane.
Mwanamke ndio alitakiwa amuache mwanaume kwa kumwambia kapata mtu wa kumkaza...

Wadada wataisha wasipokuwa wawazi kama mtu hakuridhishi sepa sio ukae unakula hela zake anakutunza afu unawapa wengine
 
Yule wa risasi 7 kichwan nae Ni mzaliwa wa Mara[emoji848]
 
Duh!. Huu sasa ndio ukatili wenyewe.

Kuingiza panga ni sawa umeongeza njia, sasa ugomvi ukiisha hasara si itakuwa kwa mume maana kiboksi kitakuwa kimeshatanuka na mvuto hautakuwepo tena labda akubanie kipaja. Na Mke akijua wewe ndio uliyeongeza njia si atakutanulia zaidi ili uogelee kwenye mto Ruvu.
 
kwahiyo akitoka huko korokoroni atagonga wapi tena papuchi ya mke wake ndio hivyo tena keshaimaliza na mipanga yake
 
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
Kwanini kaingiza panga anataka tuogelee
 
Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea
Uchunguzi gani zaidi kama majibu yameshatolewa
 
hivi wakurya mna nn lakini??

au huko kwenu kuna upepo wa ukichaa huwa unavuma??mana si kawaida...mnamatukio ya ajabu sijawah ona
 
Yes

Kila siku tukishauri vijana achaneni na maswala ya NDOA, mnatuona kama Wanenguaji wa Acudo...

Haya sasa Vita iendeleee,,, Watu hamjakomaa mnakimbilia stress...

Madogo wanaanza mapenzi hata Condom haiwatoshi,,inapwaya....halafu wanashupaza shingo kutaka NDOA..
 
Tatizo tunahangakaika na tatizo (wanaume) badala ya kuhangaika na source (wanawake)
Hatuwezi kupata muafaka wa mapenzi.
 
Ukiachana na maumivu ya kende kwa mwanaume, maumivu yanayofuata ni ya mke kuchepuka.
 
Back
Top Bottom