Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

Hao jamaa tunaishi nao lakini evolution Yao ya ubinadamu bado haijakamilika. kiukweli bado wapo karibu na manyani kuliko sisi
 
Wanaume ukimuoa mwanamke sio kwambae unamiliki uhai wake au una mamlaka ya kumfanyae chochote
Acheni ukatili kwa wanawakee achenie mfumo dume,hamuelewani muache vuta chombo kipyaa
Vile vile kwa wanawake,wanaume wengine wanateswa na wake zao hadi kuuawa.

#Kiufupi jamii yote ibadilike,kote hali ni mbaya kwa jinsia 'me' na 'ke'.
 
Vile vile kwa wanawake,wanaume wengine wanateswa na wake zao hadi kuuawa.

#Kiufupi jamii yote ibadilike,kote hali ni mbaya kwa jinsia 'me' na 'ke'.
Ni sawa mjiongelee mi naongelea upande wangu japo sikubali ukatili kwa yeyote yule
 
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
Hawa wanaume vipi jamani....hapa duniani hakuna mbususu yako peke yako. Wee shukuru ukipewa usianze kutaka kujimilikisha mbususu ya mkeo
 
Afrika kumezidi ukatili, ni ukatili ulioipitiliza , yametoka ya swalha,leo mwingine tena! Ila wanawake wengine bwana wanajitakia wenyewe, umeolewa na bado haitoshi unachepuka na wengine. Pumbafu kabisaa.
 
Ukiweza kuepuka hasira kali na tamaa umeshinda uharibifu mkubwa wa dunia hii.
 
ccr
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

Utoa heshima kwa chombo kilijitolea kukuletea hiyo habari
 
Back
Top Bottom