Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Hao jamaa tunaishi nao lakini evolution Yao ya ubinadamu bado haijakamilika. kiukweli bado wapo karibu na manyani kuliko sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vile vile kwa wanawake,wanaume wengine wanateswa na wake zao hadi kuuawa.Wanaume ukimuoa mwanamke sio kwambae unamiliki uhai wake au una mamlaka ya kumfanyae chochote
Acheni ukatili kwa wanawakee achenie mfumo dume,hamuelewani muache vuta chombo kipyaa
Ni sawa mjiongelee mi naongelea upande wangu japo sikubali ukatili kwa yeyote yuleVile vile kwa wanawake,wanaume wengine wanateswa na wake zao hadi kuuawa.
#Kiufupi jamii yote ibadilike,kote hali ni mbaya kwa jinsia 'me' na 'ke'.
Aiseeehhh!!Ushauri wa Bure hapana kupenda kupitiliza ukiona upendo unakuzidia anzisha michepuko safe kuugawa upendo ili kuepuka kuua hivi viumbe (wanawake)
Punguza jazba mamaUkileta ufala huku tunakunyonya macho.mambo ya diplomasia kwenye mapenzi tumewaachia nyie mazezeta wa pwani huko
Punguza jazba Dada wa kikuryaWewe Mwenyewe sio mstarabu. Aliekukaririsha kuwa wote ni wakatili ni Nani? Shame on you.
Bro ukipata chimbo niunganishe Nipate mke wa Tatu ...wanaolialia acha walie tuHuu mwaka nitaongeza mke wa tatu kweli?
Hawa wanaume vipi jamani....hapa duniani hakuna mbususu yako peke yako. Wee shukuru ukipewa usianze kutaka kujimilikisha mbususu ya mkeoJeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .
Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea
USSR
Ikaji duhu![emoji38][emoji38] ,Hadi sasa Kanda ya Ziwa inaongoza 4=0
Usiogope usitishike.Duh
Tutaoa kweli?
..... aione kwenye jalada.
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .
Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea
Utoa heshima kwa chombo kilijitolea kukuletea hiyo habari