Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

hii ndo shida ya wanawake hawako tayari kuwa wa wazi mume anakuawa mbali na ww huwezi kujizuia mwambie muacheni umpate mwenzi wako atakayekutimizia haja zako kila unapojisika
 
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
😆😆 ,Hadi sasa Kanda ya Ziwa inaongoza 4=0
 
Kwanini watu msiachane kuliko kuishi maisha ya kutokuaminiana na kuviziana! Mbona dunia ina watu wengi sana aargh...
 
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
Inasikitisha sana huyu mwanaume licha ya wivu anaukatili hatari.Kama vp bora angemwambia waachane.
 
Jeshi la Polisi Mkoani Mara linamshikilia Gimusi Murimi (42), Mkazi wa Wilaya ya Serengeti kwa madai ya kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri akimtuhumu kuchepuka


Kamanda wa Polisi Mara, Longinus Tibishubwamu amesema Mtuhumiwa anafanya kazi Katoro, Geita na Mei 25, 2022 aliporejea nyumbani alibaini mkewe sio mwaminifu kwenye ndoa

Kamanda anasema "Akamshambulia kwa fimbo na baadaye kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana. Mwathirika yupo hospitali akipatiwa matibabu, uchunguzi unaendelea huku mtuhumiwa tukiwa tumemshikilia"

Tukio hilo ni mwendelezo wa matukio ya migogoro katika mahusiano. Je, Sheria kali na ushauri toka Wataalamu wa Saikolojia (Psychology) na Viongozi wa Dini vinaweza kubadili hali hii?
 
Jeshi la polisi mkoani Mara limekiri kumshikiria Gimusi Murimi 42 mkazi wa wilaya ya Serengeti kwa kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri kwa kumtuhumu kuchepuka wakati yeye akiwa hayupo nyumbani.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara RPC Tibishubwamu amesema mtuhumiwa huwa anaishi mkoani Geita mji wa Katoro anakofanya kazi zake kwa mara nyingi huitembela familia, Sasa tarehe 25th mwezi huu alipofika nyumbani kwake akabaini mkewe amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa hiyo amekuwa akichepuka yeye akiwa hayupo na kuanza kumshambulia kwa fimbo na baadae kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana .

Mwathirika wa shambulio yupo hospitali akipatiwa matibabu huku jeshi likimshikiria mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea

USSR
Safi sana
 
Wanaume selfish sana wao wakicheupuka ukidume na wanachapa hadi wake za watu ila wao wakichapiwa inawauma. Huyo anastahili kunyongwa tu
 
Back
Top Bottom