Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Shukrani gani?Hamna haja ya kuwakamata mtu mwenyewe hana shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani gani?Hamna haja ya kuwakamata mtu mwenyewe hana shukrani.
Nitakufa kweli lakini kwa namna Lissu anavyompaka Rais samia shombo, sioni haja ya kuwakamata watu hao.Acha roho mbaya mkuu. Kiburi cha uzima na cheo ulichonacho ni kwa neema tu.
Wewe ni mjinga tuWawakamate? Thubutu labda uingie mfumo mpya kbs wa utawala!! Nb: Nakuhakikishia fuatilia comments hapa utawagundua wahusika kwa namna moja ama nyingine [emoji116][emoji116][emoji116]
Wako wa kumsema na tunaelewa lakini siyo Lissu, alipaswa kuwa na chujio ya manenoRais Samia ni mwanasiasa Lissu ni Mwanasiasa pia. Mashambulizi ya kisiasa ni jambo la kawaida.
Mbona mnataka kumdogosha Rais? Kwamba asisemwe? Akisemwa mnadai eti ni mwanamke.
Rais ni Mtu Mkubwa kwenye Nchi anapaswa kujibu hoja zinazoibuliwa upande wa pili.
Shukrani ni shukrani tuShukrani gani?
Mama yangu ni yule aliyenizaa tu.Wengine ni binadamu wenzangu."Nani kama Mama"
Mnataka ashukuru nini hata waliotaka kumuua hamuwstafuti wakati uwezo mnao?Shukrani ni shukrani tu
HahahaMama yangu ni yule aliyenizaa tu.Wengine ni binadamu wenzangu.
Awatafute mwenyewe na awakamate sasa. Huwezi kumsaidia kichaa asiyetambua juhudi zako. Asubiri mpaka CHADEMA itakapo chukua madarakaMnataka ashukuru nini hata waliotaka kumuua hamuwstafuti wakati uwezo mnao?
Rekebisha heading!!View attachment 2742023
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .
Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .
Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2742019
Bandari isitutenganishe pesa huisha lakini Tanzania itabaki vile vileHivi Rais Samia anaanzaje kuanza kuwakamata waliomshambilia Lissu mwaka 2017 kwa namna anavyomtukana majukwaani.
Hili jitu kweli likishambuliwa na watu wa Magufuli lakini halina shukrani. Wachana nalo
Wew tyr ni wa kwanza wengine watajulikan kama ww ngoja wanakuja 👇👇👇Wewe ni mjinga tu
Rushwa ya Bandari isitutenganisheAwatafute mwenyewe na awakwmate sasa. Huwezi kumsaidia kichaa asiyetambua juhudi zake. Asubiri mpaka CHADEMA itakapo chukua madaraka
Kamanda nguli wa ufipa nadhan unatambua vzr tu kua.. jambo hawawez chunguza wala kukamata wahusika! Au mnataka mletewe wahusika raia wa Cambodia?👇👇👇 Ishi humo!!Kwani kuna ugumu gani ?
Heading iko sawa mipango ya yule dhalimu mwendazake ilikuwa ni kumuua na kumzika kijijini kwake Ikungi. Ila kwa mapenzi ya Mungu alinusurikaRekebisha heading!!
Lissu anawezaje kukumbuka mauwaji dhidi yake?
Alikufa na akafufuka?
Nukuu (comment #2): "Wawakamate? Thubutu labda uingie mfumo mpya kbs wa utawala!! Nb: Nakuhakikishia fuatilia comments hapa utawagundua wahusika kwa namna moja ama nyingine 👇👇👇"Kama anathibitisha aliewatuma wauaji kafa, watamkamata nani sasa? Yeye akitaka aseme aliyewatuma kafa, ila waliotumwa wapo ambao ni fulani na fulani. Wakishaitwa nao watasema kama walitumwa kweli au hapana.
Nukuu (comment #2): "Wawakamate? Thubutu labda uingie mfumo mpya kbs wa utawala!! Nb: Nakuhakikishia fuatilia comments hapa utawagundua wahusika kwa namna moja ama nyingine 👇👇👇"Mtuhumiwa kafa Sasa hapo Kuna kesi gani? Maana ndio anawajua aliowatuma
Yesu alikumbukaje ?Nimeshangaa sana mtu anakumbukaje mauaji yake wakati anakuwa ameshakufa