Serengeti: Tundu Lissu akumbuka shambulio dhidi yake, amtaka Rais mpya na IGP mpya kuwakamata Wahusika

Serengeti: Tundu Lissu akumbuka shambulio dhidi yake, amtaka Rais mpya na IGP mpya kuwakamata Wahusika

View attachment 2742023

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .

Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .

Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 2742019
Mauaji, kwani alikufa
 
View attachment 2742023

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .

Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .

Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 2742019
Masikini Lisu anajidanganya. Waliotaka kumuua ni hao hao akina Mbowe na genge lao la ulaya. Dkt Magufuli na serikali havihusiki kabisa. Hivi kama kungekuwa na mkono wa serikali hata sasa angekuwa hai???? Tumieni akili mashabiki wake. Msikubali uongo.
 
Bwahaaaa haaaaaaaaa
Aiseee😂😂😂😂😂

Tundu Lissu akumbuka Mauaji dhidi yake,​

😂😂😂😂😂


Marehemu Tundu Lissu. Ooops Masikini Tundu Lissu aaaahh, Kamanda Mzee Bwana Tundu Lissu
 
Mugumu

Screenshot_2023-09-07-18-36-17-1.png
Screenshot_2023-09-07-18-36-25-1.png
 
Bwana Mzee Tundu Lissu
Amefufuka, Akumbuka mauaji Yake Miaka Sita iliyopita.



Ajishangaa , tizama picha👇
screenshot_2023-09-07-18-36-25-1-png.2742313
 
Nitakufa kweli lakini kwa namna Lissu anavyompaka Rais samia shombo, sioni haja ya kuwakamata watu hao.

Samia ndiyo alimtembelea hospitali mara 2, akalipa stahiki zake alizodhulumiwa na Magufuli, akamfanya arudi toka ukimbizini. Lakini pamoja nayote hayo Lissu akipanda kwenye majukwaa domo lake ni kumkejeli Rais Samia kwa maneno machafu.

Sioni rofauti ya IQ kati ya Mdude na Lissu. Kuna wakati nasema pengine nafuu Magufuli angemmaliza tu
If wishes were horses.......... Mungu kaliulia mbali lishetani.
 
Nitakufa kweli lakini kwa namna Lissu anavyompaka Rais samia shombo, sioni haja ya kuwakamata watu hao.

Samia ndiyo alimtembelea hospitali mara 2, akalipa stahiki zake alizodhulumiwa na Magufuli, akamfanya arudi toka ukimbizini. Lakini pamoja nayote hayo Lissu akipanda kwenye majukwaa domo lake ni kumkejeli Rais Samia kwa maneno machafu.

Sioni rofauti ya IQ kati ya Mdude na Lissu. Kuna wakati nasema pengine nafuu Magufuli angemmaliza tu
Kuna kitu nilikiandika kwa urefu ila nimekifuta.Itoshe kuandika kwamba wewe ni sehemu/tundu la nyuma la kutokea taka-mwili.Very,very and the maximum stupid with highest level of poverty!
 
Awaambie tec wamsemee kwenye hili, mbona wapo kimya?
Wasemeje bibi? Dini ya haki inasubiri tec waseme badala ya haki?

Sorry Waislamu safi, huyu bibi sometimes inabidi twende nae hivi. Hana time na wajukuu anashinda humu na udini wake.
 
Wawakamate? Thubutu labda uingie mfumo mpya kbs wa utawala!! Nb: Nakuhakikishia fuatilia comments hapa utawagundua wahusika kwa namna moja ama nyingine 👇👇👇
IGP DCI kawaguse hao hapo mwache aropoke jukwaani ili kutoa sumu ya sononeko la moyo wakati wahusika wako hapo nyuma yake
 
View attachment 2742023

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .

Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .

Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 2742019
Lisu anapaswa kuelewa kuwa CCM syndicate ya kihalifu ambayo inapaswa kushughulikiwa na umma.

Waliotaka kumuua wapo hai mpaka leo nahisi.

Mungu amlinde hadi tuwajue waliofanya uovu ule.


Jamani, hivi Bashite hajambo? Anaendeleaje huko aliko?🤣
 
Jikite kwenye mada
Wewe umeshawahi kuwasikia tec wakiongelea jaribio la kumuuwa lussu, Au wao maisha ya watu kwao si kitu? Wao biashara tu ndiyo zinawahusu?

Awaambie na wewe msaidie kuwaambia tec, slaa, mwambulukusi na mdudu wamsemee kwenye hili, mbona wapo kimya?
 
View attachment 2742023

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .

Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .

Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 2742019
Lisu anapaswa kuelewa kuwa CCM syndicate ya kihalifu ambayo inapaswa kushughulikiwa na umma.

Waliotaka kumuua wapo hai mpaka leo nahisi.

Mungu amlinde hadi tuwajue waliofanya uovu ule.


Jamani, hivi Bashite hajambo? Anaendeleaje huko aliko?🤣
 
Back
Top Bottom