Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Ukija na mawazo kama haya ....utajikuta uko kusikojulikana punde unakula mijeledi....Huyu boya anamfosi mbwa ale nyanya nimecheka sana😅😅😅!!!
Dah kuhusu mada na life liko live kweli, kuna haja ya mapinduzi ya kiutawala kufanyika sasa. Pioneers wawe wahitimu walioko kitaa ikibidi waunde chama cha siasa tu kipya ambacho hakina affiliations zozote na CCM ili katiba ikiunda i relate na hali za maisha za raia wa kitaa kwa ukaribu.
Madaraka yawe yanaelekeza serikali kuboresha welfare ya wananchi katika kila senti wanayopata yani na circulation ya kodi iwe at par na hali ya uchumi! Sio tunahubiriwa uchumi umekuwa wakati 80% ya vijana waliotakiwa kuwa kwenye uzalishaji ni majobless ama wanaparangana mtaani bila shughuli rasmi.
Kwa hali ilivyo sasa hata kuoa ni kipengele imagine unafika 30+ yrs huna kazi, huna mbele wala nyuma utaoa vipi?
this is the right time to change our future as graduates, if we wait for fate to decide we might find that it is too late to fulfil our dreams, we have a country vast of resources we dont deserve this kind of treatment from the people we have trusted with power.I can feel what you're trying to address ,indeed for graduate with poor family background it is a great burden to uplift where you're ,just be patient for the time being and remember every human being is having a destiny .Most people went through the same situation but now they have seen the enlightenment .
Have a patient moment .
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Mi nilishauri kipindi flani hizi kazi pia ziwe za mkataba sio za kudumu ambapo mtu anajiachia tu kwakuwa anajua ataondoka ofisini akiwa mzee 😅!Bora kuwapiga mawe kama ulivyosema...kulalamika tunhaitoshi. Hii mijitu ni mibinafsi haijawahi kutokea. Hapo hapo mtu akistaafu eti anaongezewa muda kwa mkataba!
Kweli mkuu nchi yetu ngumu sana ila Mungu atasaidia tuUkija na mawazo kama haya ....utajikuta uko kusikojulikana punde unakula mijeledi....
But this is the way to go. Shida ni na tumfunge kelele.
Its easy to be patient if your earning something and progressing with life. The issue is time bruh! Time waits for no man.I can feel what you're trying to address ,indeed for graduate with poor family background it is a great burden to uplift where you're ,just be patient for the time being and remember every human being is having a destiny .Most people went through the same situation but now they have seen the enlightenment .
Have a patient moment .
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
niliwahi pia kugusia hili, nilishambuliwa vikaliMi nilishauri kipindi flani hizi kazi pia ziwe za mkataba sio za kudumu ambapo mtu anajiachia tu kwakuwa anajua ataondoka ofisini akiwa mzee 😅!
Mikataba iwe ya muda mfupi 3-5 yrs kulingana na productivity na malipo yawe mazuri ili watu wakiondoka maofisini wakajiajiri mtaani maana wanaondoka na mitaji mizuri. Kuna watu wengi walipinga sana hili sababu ya kuprotect mkate wao eti ooh ufanisi utakuwa hamna sijui uzoefu utapatikana vipi? Training si zipo ama internsihip programs!
Mishahara iwe standardized tu kuendana na hali ya maisha na iwe flat kulingana na level ya elimu! Degree au zaidi wale 6M, Diploma 3M kila mwezi! Mtu akipiga 3 yrs lazma atakuwa ana pension nzuri tu ya kuendeleza maisha apishe wengine. Sio kumkalisha mtu miaka 60 ofisini kisha hataki kuondoka anaogopa moto wa mtaani😅ila ndio kinara wa kuwaambia watoto wa wenzie wajiajiri wakati yeye kamchomeka mwanae kwenye system.
Kama si la serikali tozo wanachukua za nini na kodi wanachukua za nini? Hizi serikali zetu za kiafrika zimedumaza watu wengi sana aisee!Suala la kipato ni lako binafsi si la serikali
and thats the very prob which should be put into consideration. time time timeIts easy to be patient if your earning something and progressing with life. The issue is time bruh! Time waits for no man.
Kikubwathis is the right time to change our future as graduants, if we wait for fate to decide we might find that it is too late to fulfil our dreams, we have a country vast of resources we dont deserve this kind of treatment from the people we have trusted with power.
wajinga ni wengi mnoKama si la serikali tozo wanachukua za nini na kodi wanachukua za nini? Hizi serikali zetu za kiafrika zimedumaza watu wengi sana aisee!
Fuatilia system za nchi zilizoendelea halafu uone kama swala la kipato sio ishu!
umenena vyema. Kunawatu sio wahitimu wa vyuo( vya Kati wala vikuu) wapo mtaani maisha yanasonga.Kama si la serikali tozo wanachukua za nini na kodi wanachukua za nini? Hizi serikali zetu za kiafrika zimedumaza watu wengi sana aisee!
Fuatilia system za nchi zilizoendelea halafu uone kama swala la kipato sio ishu!
Time ndio kila kitu,and thats the very prob which should be put into consideration. time time time
Mkuu naona kama unamfokea mdau!watu wa aina yako ni laana kwa taifa. ulichokiandika kila muhitimu anakijua.
uelewa wako duni unakufanya ushindwe kuelewa kuwa mfumo uliopo wa elimu unamuandaa mwanafunzi kuajiriwa,
kama ni kutafuta maisha nje ya ajira hata waajiriwa wanafanya hivyo matokeo yanazidi kuwa si rafiki kwa huyu muhitimu ambaye anakosa msingi wa kumuwezesha kusimama kiuchumi dhidi ya walio kwenye ajira.
mfumo wamegoma kuubadilisha ili umuwezeshe mwanafunzi kuitumikia vyema taaluma yake awapo mtaani, ajira pia wamegoma kutoa.
andiko langu halina sehemu inayoonyesha kuomba ajira mtandaoni, kupitia majibu yako naona wewe uozo mtupu
Waziii mkuu.Mi nilishauri kipindi flani hizi kazi pia ziwe za mkataba sio za kudumu ambapo mtu anajiachia tu kwakuwa anajua ataondoka ofisini akiwa mzee 😅!
Mikataba iwe ya muda mfupi 3-5 yrs kulingana na productivity na malipo yawe mazuri ili watu wakiondoka maofisini wakajiajiri mtaani maana wanaondoka na mitaji mizuri. Kuna watu wengi walipinga sana hili sababu ya kuprotect mkate wao eti ooh ufanisi utakuwa hamna sijui uzoefu utapatikana vipi? Training si zipo ama internsihip programs!
Mishahara iwe standardized tu kuendana na hali ya maisha na iwe flat kulingana na level ya elimu! Degree au zaidi wale 6M, Diploma 3M kila mwezi! Mtu akipiga 3 yrs lazma atakuwa ana pension nzuri tu ya kuendeleza maisha apishe wengine. Sio kumkalisha mtu miaka 60 ofisini kisha hataki kuondoka anaogopa moto wa mtaani😅ila ndio kinara wa kuwaambia watoto wa wenzie wajiajiri wakati yeye kamchomeka mwanae kwenye system.
Niulize mm wenda ukanisaidiaUna taaluma gani mtanzania mwenzangu.
#kada wa CCM.
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Kwa maisha ya sasa hapa bongo, Ili uwe tajiri inabidi uwe mbele ya muda na ili uwe mbele ya muda inabidi uwe tayari kupita njia za panya ilimradi utoboe...hilo ndio somo wengi tunachelewa kulipata hakuna tena maisha ya mstari ulionyooka eti usome chuo, ufaulu,uajiriwe , upige kazi, upande daraja, ustaafu....hayo maisha hayapo tenaTime ndio kila kitu,
imagine wewe unatakiwa uwe patient toka una 26yrs mpaka unafika 30 yrs holaa wakati madogo kibao wako nyuma wengine wana 23yrs mpaka 25 yrs wanachomoka vyuoni kuna kazi zinataka vijana wa maximum 27yrs wewe ushakuwa obsolette how can you be patient in that situation?
Tunakwenda kwenye zama ambazo itakuwa ukivuka 35yrs huajiriki siku si nyingi. Ila hao viongozi wao washaiba na wana investments kubwa ambazo kupitia tu position zao wana control na sokoni wao ndio wana priorities. Watoto wao hawana shida anachagua kama kazi anachomekwa mahali tu serikalini humo ama biashara aanchiwa investment flani asimamie.