Serikali acheni kujifanya hamtuoni wahitimu, tupeni ajira, hali ni mbaya mtaani

Serikali acheni kujifanya hamtuoni wahitimu, tupeni ajira, hali ni mbaya mtaani

Huyu boya anamfosi mbwa ale nyanya nimecheka sana[emoji28][emoji28][emoji28]!!!

Dah kuhusu mada na life liko live kweli, kuna haja ya mapinduzi ya kiutawala kufanyika sasa. Pioneers wawe wahitimu walioko kitaa ikibidi waunde chama cha siasa tu kipya ambacho hakina affiliations zozote na CCM ili katiba ikiunda i relate na hali za maisha za raia wa kitaa kwa ukaribu.

Madaraka yawe yanaelekeza serikali kuboresha welfare ya wananchi katika kila senti wanayopata yani na circulation ya kodi iwe at par na hali ya uchumi! Sio tunahubiriwa uchumi umekuwa wakati 80% ya vijana waliotakiwa kuwa kwenye uzalishaji ni majobless ama wanaparangana mtaani bila shughuli rasmi.

Kwa hali ilivyo sasa hata kuoa ni kipengele imagine unafika 30+ yrs huna kazi, huna mbele wala nyuma utaoa vipi?
[emoji3][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3]
 
Hii ni sahihi kabisa,ajira ziwe za muda mfupi na zenye ujira mzuri, ili wengine waingie kwenye system nao .Hata bungeni Iwe miaka 5 mtu anaondoka.
Na hamna kurudia bungeni😅 uchumi utaimarika ila hii biashara ya kuweka watu miaka 60 yani maraisi wanabadilika awamu 3-4 ndio mtu aondoke ofisini ndio maana sura zinakuwa zile zile miaka yote.

Akili mgando yani tabu tupu😀 mtu anawaza kijima na ofisi hataki kuachia.
 
Mi nilishauri kipindi flani hizi kazi pia ziwe za mkataba sio za kudumu ambapo mtu anajiachia tu kwakuwa anajua ataondoka ofisini akiwa mzee 😅!

Mikataba iwe ya muda mfupi 3-5 yrs kulingana na productivity na malipo yawe mazuri ili watu wakiondoka maofisini wakajiajiri mtaani maana wanaondoka na mitaji mizuri. Kuna watu wengi walipinga sana hili sababu ya kuprotect mkate wao eti ooh ufanisi utakuwa hamna sijui uzoefu utapatikana vipi? Training si zipo ama internsihip programs!

Mishahara iwe standardized tu kuendana na hali ya maisha na iwe flat kulingana na level ya elimu! Degree au zaidi wale 6M, Diploma 3M kila mwezi! Mtu akipiga 3 yrs lazma atakuwa ana pension nzuri tu ya kuendeleza maisha apishe wengine. Sio kumkalisha mtu miaka 60 ofisini kisha hataki kuondoka anaogopa moto wa mtaani😅ila ndio kinara wa kuwaambia watoto wa wenzie wajiajiri wakati yeye kamchomeka mwanae kwenye system.

Haya yanaweza kuwemo katika katiba mpya.

Ika apply across the board. Ubunge na hata uwaziri. Miaka 5 maximum ukajiajiri.
 
Haya yanaweza kuwemo katika katiba mpya.

Ila apply across the board. Ubunge na hata uwaziri. Miaka 5 maximum ukajiajiri.
Yeah nafikiri inatakiwa iwe hivyo ili kusudi hata watu akili ziwakae sawa sio kubweteka tu humo ofisini na kulemaza akili na kuagiza vijana wakajiajiri wakati hata mitaji hawana.
 
hili linaweza kufanyika kuanzia ajira zijazo (if only zitatolewa) na kuendelea.

watu wanaopinga utasikia wanakuambia eti hakuna nchi iliyoendelea inayofanya hivi, sijui ni nani alitufunga akili na kutuambia kila kinachofanywa na nchi nyingine ni muafaka na kwetu.
Hii ni sawa na mtu kuwa kwenye mtihani, then ana amini majibu ya mtu mwengine.Ifike mahali tukubali akili zetu ,na tufanye maamuzi yetu wenyewe.
 
Waziii mkuu.

Yaani Mimi huwa nashangaa, mtu ana miaka zaidi ya sitini lakini bado yupo ofisi fulani!!! eti yeye ni mzoefu kwahiyo hakuna haja ya replacement, mtu akifikisha miaka sitini Kama ilivyo kwa watumishi wengine basi astaafu apishe wengine.

Kuna lingine unakuta mtu alikuwa mbunge kipindi fulani, baadaye huyohuyo anakuwa DC mahali fulani, akitoka huko utasikia mara RC mahali, haitoshi utasikia balozi mahali fulani, kumbe huyu alipokuwa mbunge alitumikia taifa na kula cake yake kabisa, Basi uDC apewe mwingine.

Mwisho, kuna hili la watu wa ukoo fulani wenyewe ndo viongozi miaka yote, anatoka babu anamwachia mwanae, mwanae naye anamwachia mjukuu wa babu.

Kama taifa lazima tuyaangalie mambo haya, hili taifa ni la watanzania wote.
Ubinafsi na Uroho
 
hili linaweza kufanyika kuanzia ajira zijazo (if only zitatolewa) na kuendelea.

watu wanaopinga utasikia wanakuambia eti hakuna nchi iliyoendelea inayofanya hivi, sijui ni nani alitufunga akili na kutuambia kila kinachofanywa na nchi nyingine ni muafaka na kwetu.
Wanaopinga wengi wako kwenye milkshake humo😅 wao yakwao yanaenda nyie mnaolalamika mnaambiwa eti sio jukumu la serikali kuajiri kila graduate wakati wao wanakula kunywa na kuvaa kwa kutumia mgao wa mshahara wa serikalini humo humo.

Top dogs wanawambieni vijara mkajiajiri ajira hakuna😅! Kodi ya fremu+TRA+Mtaji wa mzigo+ Miscellaneous expenses huwa hawazioni ndani ya hio kauli yao😅
 
Na hamna kurudia bungeni[emoji28] uchumi utaimarika ila hii biashara ya kuweka watu miaka 60 yani maraisi wanabadilika awamu 3-4 ndio mtu aondoke ofisini ndio maana sura zinakuwa zile zile miaka yote.

Akili mgando yani tabu tupu[emoji3] mtu anawaza kijima na ofisi hataki kuachia.
kabisa yaan ,Kwa miaka 5 mbunge anakuwa kavuta 300M+ kama mshahara ,ukija na kile kiinua mgongo 250M,jumla anavuta kama 500M+ kwa miaka 5 .Sasa mtu kama huyu ,wa nini tena awamu nyingine? Waje wapya,miaka mitano inatosha kabisa.
 
kabisa yaan ,Kwa miaka 5 mbunge anakuwa kavuta 300M+ kama mshahara ,ukija na kile kiinua mgongo 250M,jumla anavuta kama 500M+ kwa miaka 5 .Sasa mtu kama huyu ,wa nini tena awamu nyingine? Waje wapya,miaka mitano inatosha kabisa.
Ila jamaa wanapiga hela akyamungu, unakuta mtu toka awamu ya kwanza ya Jakaya yupo. Kaja kutemwa awamu ya pili ya magufuli😅 yani ana 15yrs bungeni ina maana huyo ni billionaire tayari ukichunguza wengi lazma hela za miradi wadokoe kidizaini.
 
Wanaopinga wengi wako kwenye milkshake humo😅 wao yakwao yanaenda nyie mnaolalamika mnaambiwa eti sio jukumu la serikali kuajiri kila graduate wakati wao wanakula kunywa na kuvaa kwa kutumia mgao wa mshahara wa serikalini humo humo.

Top dogs wanawambieni vijara mkajiajiri ajira hakuna😅! Kodi ya fremu+TRA+Mtaji wa mzigo+ Miscellaneous expenses huwa hawazioni ndani ya hio kauli yao😅
napata hasira sana, na kuna majinga kisa yana kamilioni yanajiona yameula, wakati kuna watu wanachota kodi zetu kwa mabilioni huko badala ya kuzielekeza mahali husika
 
Kweli nafikiria ni kuvaa mabomu tu mzee maana hamna namna! Yani maisha yamekaa kisengelenyuma sana mkuu!

Kuna haja ya ku temper na system maana ukiifata system haikupi matokeo instantly. Get rich or Die Trying ndio falsafa ambayo pengine itatuokoa vijana wa leo.
mammmmae, tena hiyo ya kuvaa mabomu unaanza na ikulu na ofisi kubwa kubwa za mafisadi, ni mwendo wa kushambulia takataka zote zinazojiita viongozi afu tuone ni nani atakaetaka tena kuwa kiongozi.
 
Hii ni sawa na mtu kuwa kwenye mtihani, then ana amini majibu ya mtu mwengine.Ifike mahali tukubali akili zetu ,na tufanye maamuzi yetu wenyewe.
mawazo mgando waliyo nayo ni mafanikio asilimia mia moja ya mfumo wa elimu uliopo, tuliopo nje ta box tunaambiwa tunalia lia wakati kuna waziri huko anasafirisha malaya kwenda mbuga ya wanyama kwa budget ya mil 700
 
Ila jamaa wanapiga hela akyamungu, unakuta mtu toka awamu ya kwanza ya Jakaya yupo. Kaja kutemwa awamu ya pili ya magufuli[emoji28] yani ana 15yrs bungeni ina maana huyo ni billionaire tayari ukichunguza wengi lazma hela za miradi wadokoe kidizaini.
Kwa hali hii ,katiba awezi kakubali ipatikane, ni kuharibu Milkshake yake mwenyewe.Unakuta baba, mama na mtoto wote ni wabunge, kwa nyakati tofauti.Yaan wanapasiana michongo.
 
Kwa hali hii ,katiba awezi kakubali ipatikane, ni kuharibu Milkshake yake mwenyewe.Unakuta baba, mama na mtoto wote ni wabunge, kwa nyakati tofauti.Yaan wanapasiana michongo.
Hahahahah hio mihela ndio ilimpagawisha bona Kamoli akamtosa jamaa yake😅 yani wabunge wanaogeleaga kwenye pesa aisee!!!
 
Back
Top Bottom