Serikali acheni kujifanya hamtuoni wahitimu, tupeni ajira, hali ni mbaya mtaani

Serikali acheni kujifanya hamtuoni wahitimu, tupeni ajira, hali ni mbaya mtaani

Duu!!!Noma sana 700M.
ila yule bwana alitugwangala sana, imagine ikatengwa bajet ya kutangaza mlima kilimanjaro, kwa wasanii wa ndani na media za ndani, hivi kuna mtanzania hajui kuwa tuna mlima kilimanjaro? na mzee aliyelala yoo aka aprove, bado kukawa na tetesi kuwa alibeba poshy kupeleka katavi national park kwa ndege ya shirika, then twiter akawa anafungua bakuli eti tujiajiri kweli? ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali ikaja kusema wizara yake imepiga mil 700, hakuna hatua aliyochukuliwa yeye na wenzake walio tajwa mpaka leo
 
Nawaambieni siku lile bunge la TZ lilipuke na kuangamiza rais, mawaziri wote na wabunge. Mtaona watu watakavochinja mbuzi na ng'ombe nyingi kwa furaha isiyo kifani.

Mpaka wanaowapenda watafurahia. Na ndo mtagundua watz waliwapenda kinafki tuu siku ziende.
 
Mkiwa vyuoni endeleeni kufungua matawi yw ccm ila huku mtaani mtakunya Huku mmesimama kima nyie
 
Vijana wenzio wapo hapa Njombe wanafanya kilimo cha miti ya mbao na parachichi bila ya msaada wowote wa serikali ya CCM, wewe umekaa hapo Lumumba unasubiri kulamba MASABURI ya viongozi wako ili uweze kuishi, puumbavu huna akili.
 
hizi siasa za kutuaminisha eti mnakopa ma trioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kujifanya hamuoni hali zetu sisi tuliozingatia kitabu kama mlivyotuagiza ni uzandiki mtupu.

Leo hii tunaonekana kama mizigo kwa wazazi na ndugu nyie mko bize kulumbana kisa uchu wa madaraka, tunakoelekea tutakuwa tukikutana na viongozi tunapiga mawe mpaka kufa kama sheria za wayahudi wa zamani maana sheria mnazotunga zinawalinda wenyewe ili tusiwaguse, kuna faida gani kuendelea kuzalisha kundi la wasomi na kuwatelekeza.

Nchi ina gesi, madini, vivutio vya utalii, tozo, mikopo na misaada kibao, lakini wahitimu wanaachwa kana kwamba sio wale mnaowapa vipaumbele kwenye sera zenu wanapokuwa shuleni.

tufike mahali tuache kujisahau, fukuto la chuki mnalolijaza kwetu hakika halitawaacha salama.

"when I grow up I will carry a gun" remains my all time favourite line among the lines I have learned in school.

CCM is corrupt
CDM wana tamaa iliyokithiri ya uchu wa madaraka kiasi cha kulichukua fisadi eti wamelitakasa kuwawakilisha kwenye uchaguzi kisa lina upepo wa kisiasa
vyama vingine vya kisiasa, sio tu havina nguvu, vinatumika kama mitaji ya kisiasa kwa chama tawala.

Ndugu wahitimu, amkeni acheni kulia ndani ya moyo, wanatuambia tuigeuze elimu kuwa hela huku wao wakiwa wanategemea mishahara kupitia kodi zetu ni zaidi ya kututukana tena matusi ya nguoni.

kazi za wahitimu;
1)kuuza movie
2)kuuza liquid protector
3)kuuza pedi za kufua
4)kutumika madukani kwa ndugu na wazazi (wachache)
5)kujiuza (wanaita kudanga)
kuuza juice
6)kulima small scale agriculture kwa sababu ya mitaji midogo
7)wizi
na nyingine kibao ambazo hazina hadhi ya elimu waliyo nayo.

serikali ikitangaza ajira utasikia "awe na uzoefu kazini kianzia miaka miwili" kwa kazi gani mlizo tupatia? Hakika wanasiasa wametudharau sana ni wakati sasa wa kuwakataa na tamaa zao za kujifaidisha wao na koo zao.

"Mungu awatembelee mmoja baada ya mwingine, awafundishe kula kwa jasho kama watu wengine"_kwa sauti ya kala jeremiah.View attachment 2061370
Kazi za wahitimu Kushinda Instagram na Facebook wakilumbana na kutafuta umbea, kubet, kupiga vizinga, usharo ata akija kukusalimia ata kwenye Banda la kuku haingii, kujadili siasa na mpira, kutia mahouse girl mimba na kuachia ndugu misala, kudanga na ujuaji mwingi
 
Ni muda wetu wa kula mema ya inchi sisi wazanzibar nyie sukuma gang kajiungeni na suma jkt mpindue nchi si ndio mawazo yenu...AJIRA HAKUNA NA HAMNA LA KUMFANYA MAMA YETU...
 
Huoni teuzi zote za muungano ni wazenji hadi udas..hamia zenji kikubwa uwe na ukaazi..utakula mema ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Mm mbona mzaliwa wa zenji na nikikwambia ivo nina uhakika na nilisemalo
 
Back
Top Bottom