Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia Agosti 23, 2022 kuwa siku ya mapumziko.
Lengo ni kufanikisha zoezi la sensa linalotarajiwa kuanza siku hiyo kwa kuwapokea makarani wa sensa na kutoa maelezo sahihi.
Hivi karibuni Kamisaa wa Sensa 2022, Anne Makinda alinukuliwa akisema Agosti 23, 2022 haitakuwa Siku ya Mapumziko, hivyo kila mmoja ataendelea na shughuli za kimaendeleo.
Pia, soma: Umuhimu wa mapumziko siku ya Sensa
Lengo ni kufanikisha zoezi la sensa linalotarajiwa kuanza siku hiyo kwa kuwapokea makarani wa sensa na kutoa maelezo sahihi.
Hivi karibuni Kamisaa wa Sensa 2022, Anne Makinda alinukuliwa akisema Agosti 23, 2022 haitakuwa Siku ya Mapumziko, hivyo kila mmoja ataendelea na shughuli za kimaendeleo.
Pia, soma: Umuhimu wa mapumziko siku ya Sensa