Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Private hatuhesabiwi kwani?Mama Anaupiga Mwingi
Sema private sector tuendelee na Kazi
... lakini pia kwa hadaa za CCM kuna uwezekano ilifanywa hivyo by design; you know why!Nadhani hakujiridhisha vya kutosha kutoa lile tamko kuwa Siku hiyo isiwe ya Mapumziko na ndio Maana Boss wake kupitia Rais akajiridhisha na kuipitisha iwe siku ya Mapumziko
Hili ni zoezi muhimu sana katika kufanikisha maendeleo ya jamii mama watanzania tunajiandaa kuhesabiwa kwa maendeleo ya jamiiWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluh Hassan ameridhia Agosti 23, 2022 kuwa siku ya mapumziko.
Lengo ni kufanikisha zoezi la sensa linalotarajiwa kuanza siku hiyo kwa kuwapokea makarani wa sensa na kutoa maelezo sahihi.
Hivi karibuni Kamisaa wa Sensa 2022, Anne Makinda alinukuliwa akisema Agosti 23, 2022 haitakuwa Siku ya Mapumziko, hivyo kila mmoja ataendelea na shughuli za kimaendeleo.
Pia, soma: Umuhimu wa mapumziko siku ya Sensa
SURE MKUU... lakini pia kwa hadaa za CCM kuna uwezekano ilifanywa hivyo by design; you know why!
Hapa nyumbani wamekaa saa nzima familia moja sidhani watamaliza kwa siku saba walizopewaKuanzia asubuhi hadi sasa mtaani kwangu hawajapita hata nyumba moja, na sidhani kama watakamilisha hii Sensa ipasavyo