Serikali: Agosti 23, 2022 ni siku ya mapumziko

Nadhani hakujiridhisha vya kutosha kutoa lile tamko kuwa Siku hiyo isiwe ya Mapumziko na ndio Maana Boss wake kupitia Rais akajiridhisha na kuipitisha iwe siku ya Mapumziko
... lakini pia kwa hadaa za CCM kuna uwezekano ilifanywa hivyo by design; you know why!
 
Mmepata mapumziko sio tena muanze kupuyanga, kaeni mtulie tuwakute nyumbani.
 
Watanikuta lodge room no 5 na beby wangu
Lodge ziruhusiwe kupokea wateja pls
 
Hili ni zoezi muhimu sana katika kufanikisha maendeleo ya jamii mama watanzania tunajiandaa kuhesabiwa kwa maendeleo ya jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…