wiki 1.Siku 7.Ni wiki mbili hivi
7 ila kwa nini leo iwe siku ya mapumziko?Kuanzia asubuhi hadi sasa mtaani kwangu hawajapita hata nyumba moja, na sidhani kama watakamilisha hii Sensa ipasavyo
Ndani ya siku 7 watakuwa wamefika.Kuanzia asubuhi hadi sasa mtaani kwangu hawajapita hata nyumba moja, na sidhani kama watakamilisha hii Sensa ipasavyo
Taarifa Zitakuwa Za Kupikwa Haraka Maana Maswali 100Kuanzia asubuhi hadi sasa mtaani kwangu hawajapita hata nyumba moja, na sidhani kama watakamilisha hii Sensa ipasavyo
ππππ Mkuu umenifanya nikumbuke kipande fulani cha wimbo wa Ngwea (RIP) na jide anasema asilimia tisini ya wanchi vijijini starehe yao ni pombe na ninyiii.....Sijui kwanini leo tumepumzika kwakweli, hapa kijjjini hatujamuona karani bado, tushaulizana wote, hola
Tushashiba dona tayari sasa, dk 40 zijazo tutakuwa njiani kwenda vilabuni, kufurahi na marafiki, hamna nnamna
Kitambo sana walishafeli,Wameshafeli
Mkalewe na marafikiSijui kwanini leo tumepumzika kwakweli, hapa kijjjini hatujamuona karani bado, tushaulizana wote, hola
Tushashiba dona tayari sasa, dk 40 zijazo tutakuwa njiani kwenda vilabuni, kufurahi na marafiki, hamna namna!
Tutakuwa mapumzikoni kwa siku zote hizo?Ni wiki mbili hivi
Ili mradi havunji sheria za nchiKuna mmoja tupo nae apa bar ana mwagilia moyo
Wakikujibu nitag bwashee [emoji23]najiuliza leo ni siku ya mapumziko nimepita mtaani hakuna mtu hata mmoja sasa kesho tunaendelea na mapumziko ama?