Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo ni mlopokoji wa serikali...Tz hatujawahi kuwa na msemaji wa serikaliSeriously!!? soko la dunia hadi kwenye mafuta ya kula? huyu jmaa ni msemaji wa serikali au mzungumzaji wa serikali......
Pipa la ujazo uppi tafadhaliLabda ni kwa pipa.
Pipa ni lita 200 bwashee!Pipa la ujazo uppi tafadhali
Huyu nae amekuwa kama kopo la chaooni,anasema chochote anachoambiwa,kupanda bei huko duniani Kuna tuathiri vipi sisi ambao tunalima wenyewe alizeti,mawese,pamba!!Msemaji mkuu wa serikali Greyson Msigwa amesema bei ya mafuta ya kula imepanda kutoka dola za kimarekani 500 hadi zaidi ya 1000 katika soko la dunia.
Hii ndio sababu bei za mafuta hapa nyumbani zimabaki vile vile hazijashuka.
Yaani acha tu. Serikali ina watendaji wapumbavu sana aiseee. Mimi sikuwahi kutegemea tutakuja kukwama hivi siku moja hivi tunafanyaje jamani, hawa watu hatuwezi kuwaacha kwenye mamlaka ni hatari kwa vizazi vijavyo...!Na yale mawese ya kigoma, alizeti ya singida, ufuta wa morogoro
Yaan Vyote hivyo vimepanda Kwenye soko la Dunia?
Au sikU hizi soko la Dunia limehamia kigoma, singida na morogoro?
Hivi wewe, unapewa takwimu za kindezi na wewe unaziamini?! Umeshawahi zunguka humo madukani ukatazama ni mafuta gani yapo kwenye mashelfu ya maduka ya jumla na reja reja unioneshe hayo mafuta kutoka nje ya nchi na ni brand gani na akina nani wanayanunua?!Ndioo!!karibia asilimia 60 ya mafuta ya kula yanatoka nchi za nje!!sisi ni wa kuhurumiwa tu, utasikia jitu , linasema ohhh, watuache tu sisi kwa sasa tunaweza kujitegemea kwa karibu kitu !!nchi hii ni ngumu sana, yaani kiingozi anaingia anawakuta mna matatizo fulani anapiga miaka yake 10, anaondoka, anawaacha na matatizo yale yale kwa kiasi kile kile alichowakuta nayo!!utegemee kuna kwenda mbele hapo?!!kibaya zaidi na anayekuja anatumia mbinu zile zile na watu walewale.
Hilo soko la dunia ndo liko wapi etiMsemaji mkuu wa serikali Greyson Msigwa amesema bei ya mafuta ya kula imepanda kutoka dola za kimarekani 500 hadi zaidi ya 1000 katika soko la dunia.
Hii ndio sababu bei za mafuta hapa nyumbani zimabaki vile vile hazijashuka.
Wanasiasa wanadhan watanzania wote Ni vichaa[emoji3525]Yaani acha tu. Serikali ina watendaji wapumbavu sana aiseee. Mimi sikuwahi kutegemea tutakuja kukwama hivi siku moja hivi tunafanyaje jamani, hawa watu hatuwezi kuwaacha kwenye mamlaka ni hatari kwa vizazi vijavyo...!
Viongoz wa hii serikali ya sasa,
Wote washaona watanzania wote mil.60 hatuna Akili.
Mkuu, Kenya haimo kwenye soko la Dunia,Bei mafuta Kenya ni chini karibu nusu ya bei ya Tz, hiyo bei imeathiri Tz tu?
Ndiyo somo la Dunia limehamia Tanzania ,huna taarifa.Na yale mawese ya kigoma, alizeti ya singida, ufuta wa morogoro
Yaan Vyote hivyo vimepanda Kwenye soko la Dunia?
Au sikU hizi soko la Dunia limehamia kigoma, singida na morogoro?
Inamaana sahii wanatuona viazi kiasi hikiMsemaji mkuu wa serikali Greyson Msigwa amesema bei ya mafuta ya kula imepanda kutoka dola za kimarekani 500 hadi zaidi ya 1000 katika soko la dunia.
Hii ndio sababu bei za mafuta hapa nyumbani zimabaki vile vile hazijashuka.
Kwakwel sisi watanzania Ni wakipekee Sana[emoji2]Mkuu, Kenya haimo kwenye soko la Dunia,
Tanza is ndiyo tubahatika kuingi somo la Dunia.
Unadanganya watu Unguja we upo sehemu gani ambapo mafuta yamepungua bei?Na hiyo dunia ni tanzania pekee maana nchi zingine bei ipo chini sana ,hapo unguja tu bei ipo chini na hawalimi hata alzeti
Duniani!Hilo soko la dunia ndo liko wapi eti