Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Hoja yako haina mashiko,msukuma ana division one ngapi??

Profesa pale main campus mwnye digrii 4 analipwa 4mpk 5m na makato juu.
Taletale sidhani hata cheti Cha form 6 km anacho ,anakunja 12 bila makato,

Tz nzima hakuna mwalimu wa digrii mwenye cheti Cha form 4 chenye division kuliko nyie madaktari kuanzia daktari Msukuma mpk daktari wa mihogo.
Wana dharau sanaa kwa Walimu. Hawajui kuna ambao wana mpaka point saba kwenye UALIMU.
 
wanasiasa wanalipwa vizuri sehemu kubwa tu ulimwenguni..ni upumbavu kulinganisha mshahara wa wanasiasa na wanataaluma.
Huko ulimwenguni taaluma zingine zina unafuu kidogo sio kama bongo nyoso.

Bongo nyoso siasa imepewa hadhi kubwa sana.
 
Sasa hivi waalimu wakuu shule za msingi wanapata posho ya shiling laki moja kwa mwezi, sidhani kama hawa wanaweza kuungana na wenzao kupiga kelele.
Wakuu wa Shule ni 250,000/= na Walimu wakuu ni 200,000/= monthly

HII NAYO NI DIVIDE AND RULE.
 
Acha kamba wewe..mtu apate one ya PCB aende ualimu?..si atakuwa kichaa.
Nikupige kamba ili iweje ??

Kwa hiyo kwenye UALIMU hakuna daraja la kwanza au la pili ?? HUNA AKILI KABISA.!

Au aliyekwambia kwamba walimu wote ni failure alikupotosha.

Na hii dharau yako ni kutokana na maslahi mabovu ya Walimu.
 
Amani iwe juu yenu nyote.

Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.

Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.

Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.

Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).

Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?

Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.

HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.

UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.

Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.

Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.

Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)

Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?

INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.

WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?

TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Ushauri mzur san! Tatizo Nchi hii bado ina mentality ya ualimu uuguzi ni kazi ya wito!! So wanalipwa kama ahsnt tu!! NB: Kazi ni kaz hakunaga mambo ya wito!
 
Umeongea kwa uchungu sana mkuu, ila utafanyaje pesa ambazo zingeenda kuboresha maslahi ya watumishi wakiwemo walimu ndo zinapigwa na majizi kwa kuongeza malipo zaidi ya maradufu kwenye invoice......
Na sisi wananchi tumekubalina na hali hiyo ndio shida.
 
Daktari anaanza na 1.5m..
Nenda kaangalie upya TGHS zipo zote pale wala sio Siri.

Serikalini Watumishi huanza na D1 hizo zingine ni madaraja na specialist
20230204_105811.jpg
 
wanasiasa wanalipwa vizuri sehemu kubwa tu ulimwenguni..ni upumbavu kulinganisha mshahara wa wanasiasa na wanataaluma.
Una shida kubwa kwenye Mercury yako,

Umesema wewe daktari haiwezekani upokee sawa na mwalimu kisa umesomea miaka 4 sijui 5 ..

Ndio maana nikakupa mfano wale wakufunzi pale udsm Ni walimu na wana Phd..

Kwhy wewe kwa akili yako Kati yako wewe na mwanasiasa Nani anafanyakazi kubwa katika kuijenga nchi?
 
Ushauri mzur san! Tatizo Nchi hii bado ina mentality ya ualimu uuguzi ni kazi ya wito!! So wanalipwa kama ahsnt tu!! NB: Kazi ni kaz hakunaga mambo ya wito!
Ipo siku watavuna wanachokipanda au walichokipanda kwa muda mrefu.
 
Ambacho hujua na pengine mleta mada akuweka sawa sana. Viwango vya mishahara serikalini ni karibu sawa vikiwa na tofauti ya elfu 5 au 10 tu. Na wala CWT sio uchawi wa mishahara. Ualimu unaonekana kwakuwa wao ni Majority, kuwafanya mfano ni Rahisi sana
Nazungumzia maslahi yao kwa ujumla sio salary peke yake. Asante
 
Inawezekana ni ule moto wanaozungusha kila mwaka, wanafanya mazindiko watu wawe na akili zilizofubaa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

NA KWELI.

INAWEZEKANA VIPI MOTO TU UZUNGUKE NCHI NZIMA NA KUTUMIA MABILIONI YA SHILINGI !!!!???
 
Ambacho hujua na pengine mleta mada akuweka sawa sana. Viwango vya mishahara serikalini ni karibu sawa vikiwa na tofauti ya elfu 5 au 10 tu. Na wala CWT sio uchawi wa mishahara. Ualimu unaonekana kwakuwa wao ni Majority, kuwafanya mfano ni Rahisi sana.

Na kingine ni vile walimu hawana chakuiba huko shuleni ndio maana huwaoni kwenye ripoti za CAG.

Maafisa kilimo
Afisa maendeleo
Wahasibu wa serikali
Wanasheria wa serikali
Na wengine wengi
Wanaoajiriwa na Degree ya kwanza wooote wanacheza na laki 7 mpk 750. Kabla ya makato.

Tofauti inakuja kuwa yule muhasibu pale halimashauri mkurugenzi anaweza amka asbh akaitisha kikao cha kazi na wakagawana allowance ya laki moja moja. Kesho akaiba kwa kalamu elfu 50, kesho kutwa akapitisha malipo fulani badhirifu akapata 80 elfu. Ndani ya wiki nje ya mshahara katengeneza 230000/

Yule afisa mifugo kaamka asbh kaingia machinjioni kapewa elfu 30 kugonga mhuri kuridhia mfugo uliochinjwa, kesho tena atapewa 30 elfu na kilo 3 za nyama, wiki nzima atatengeneza 180 elfu nje ya mshahara.

Kule kuna mtendaji wa kijiji yeye mshahara ni mdogo zaidi ya mwalimu wa cheti, lakini pale kwenye kijiji anahonga mihuri tsh 3000, ana kesi za kijiji watu wanapigwa faini za kutosha, kwa wiki anatengeneza laki 2 nje ya mshahara.

Ndugu yangu mwalimu anaenda kazini jumatatu hadi ijumaa, hana hata kitu cha shilling 5 cha kuiba, akikomaa sana atengeneze nyumbani (barafu) ice-cream za maji akauze mia mia ndio arudi nyumbani na sh elfu 2 kama faida.

Shuleni hakunaga semina wala vikao vya allowance. Ukikaa kikao ni matako yako kuumia kwenye bench za shule ndio allowance yako. Huwezi iba chaki [emoji3][emoji3] utamuuzia nani?

Hapo ndipo tofauti ya ualimu na kazi zingine, mleta mada kasema walimu wengi wanatoka familia masikini maana ni masikini tu wanaruhusu watoto wao kusoma ualimu.

Hapa ndipo tunasema "They're poor because they were Poor".
Wewe ni laghai mkubwa!
 
Ambacho hujua na pengine mleta mada akuweka sawa sana. Viwango vya mishahara serikalini ni karibu sawa vikiwa na tofauti ya elfu 5 au 10 tu. Na wala CWT sio uchawi wa mishahara. Ualimu unaonekana kwakuwa wao ni Majority, kuwafanya mfano ni Rahisi sana.

Na kingine ni vile walimu hawana chakuiba huko shuleni ndio maana huwaoni kwenye ripoti za CAG.

Maafisa kilimo
Afisa maendeleo
Wahasibu wa serikali
Wanasheria wa serikali
Na wengine wengi
Wanaoajiriwa na Degree ya kwanza wooote wanacheza na laki 7 mpk 750. Kabla ya makato.

Tofauti inakuja kuwa yule muhasibu pale halimashauri mkurugenzi anaweza amka asbh akaitisha kikao cha kazi na wakagawana allowance ya laki moja moja. Kesho akaiba kwa kalamu elfu 50, kesho kutwa akapitisha malipo fulani badhirifu akapata 80 elfu. Ndani ya wiki nje ya mshahara katengeneza 230000/

Yule afisa mifugo kaamka asbh kaingia machinjioni kapewa elfu 30 kugonga mhuri kuridhia mfugo uliochinjwa, kesho tena atapewa 30 elfu na kilo 3 za nyama, wiki nzima atatengeneza 180 elfu nje ya mshahara.

Kule kuna mtendaji wa kijiji yeye mshahara ni mdogo zaidi ya mwalimu wa cheti, lakini pale kwenye kijiji anahonga mihuri tsh 3000, ana kesi za kijiji watu wanapigwa faini za kutosha, kwa wiki anatengeneza laki 2 nje ya mshahara.

Ndugu yangu mwalimu anaenda kazini jumatatu hadi ijumaa, hana hata kitu cha shilling 5 cha kuiba, akikomaa sana atengeneze nyumbani (barafu) ice-cream za maji akauze mia mia ndio arudi nyumbani na sh elfu 2 kama faida.

Shuleni hakunaga semina wala vikao vya allowance. Ukikaa kikao ni matako yako kuumia kwenye bench za shule ndio allowance yako. Huwezi iba chaki [emoji3][emoji3] utamuuzia nani?

Hapo ndipo tofauti ya ualimu na kazi zingine, mleta mada kasema walimu wengi wanatoka familia masikini maana ni masikini tu wanaruhusu watoto wao kusoma ualimu.

Hapa ndipo tunasema "They're poor because they were Poor".
Umemaliza kila kitu mkuu.
 
sio.Ha
Amani iwe juu yenu nyote.

Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.

Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.

Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.

Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).

Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?

Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.

HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.

UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.

Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.

Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.

Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)

Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?

INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.

WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?

TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Fani yenyewe TU siyo.Hayati Nyerere since aliachana nayo hii.Haya Magu jee???
Kwanza walimu waoga,umoja hawana.wangekuwa na umoja CWT ingeshaacha kuwakata.
Yaani waache TU waendelee na mishahara hiyohiyo mpaka wabadilike kiakili&waache uoga.
 
Huwezi leta mageuzi kwa watu wasio jitambua kama waalimu maana haki zao na mafao yao yaliyupo kwa mujibu wa Sheria na mikataba ya kazi wanashindwa kuyatetea wanabaki kuwaomba watawala kuwatimizia kitu ambacho ni haki Yao kabisa huu si uzuzu na uzwazwa wamebaki kuvaa nguo za CWT tu,siku ya Mei mosi na kupewa nafasi za sensa na usimamizi wa uchaguzi ambazo kazi hizo zilipaswa kuwa za vijana jobless.

"Akili ni nywele kila mtu ana zake"
Saaana.Walimu waacheni tu na mishahara Yao hiyohiyo,.Wasubiri kusahisha mitihani na kusimamia TU ndo wapate pesa ya ziada.Watu waoga wa nini kuwatetea.Chama chso TU kwenda kudai Haki wameshindwa.
 
Amani iwe juu yenu nyote.

Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.

Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.

Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.

Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).

Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?

Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.

HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.

UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.

Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.

Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.

Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)

Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?

INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.

WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?

TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Asante Kwa kuliona Hilo.
Na pia wizara iliangalie swala la watoto Kusoma bure nalo lilishageuka mwiba Kwa wazazi.
Kumeanza kutokea wimbo.la wanafunzi kusimamishwa masomo kisa ADA.
Hizo pesa za Elimu bure zinaenda wapi?
Waziri na makamu mpo mnalisemeaje Hilo. CAG je umepitia hizi pesa za Elimu bure?
Kuna utafunwaji mkubwa nako huko.!
 
Wabunge ningewalipa 250,000 tu, sema ndio wamepewa kipaumbele kuliko walimu
 
Back
Top Bottom