AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Dharau si kitu kizur kabisa Ukizungumzia issue ya Ubongo Wengi wanaofaulu vzuri hutokea familia zenye support nzuri pia, Walim si wajinga ila wamekua na Umaskin toka Majumban mpaka huku serkalin.Acha kamba wewe..mtu apate one ya PCB aende ualimu?..si atakuwa kichaa.