Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Tatizo la Elimu bure ndo Hilo , Serikali itoze Ada kwa wanafunzi then hizo Ada zitumike kuboresha Maisha ya walimu kikwete alikuwa sahihi kuweka Mfumo wa ulipaji wa Ada

Serikali yetu ni masikini Sana Kusema inaweza kutoa Elimu bure then waboreshe na mishahara ya walimu haiwezekani that all
Wazo lako ni sahihi kabisa kutokana na mapato finyu ya nchi ndio maana serikali imeweka nguvu kubwa kwenye infrastructure na si kwenye raslimali watu eg mwaka jana iliahidi kuongeza nyongeza ya asilimia 23 wakaishia kuweka nukta katikati na kuwa 2.3% mpaka mkaleta mfumuko wa bei ambao ukatuathiri na tusiohusika.Rudisheni ada shule za msingi atleast 5000 isaidiane na ruzuku ya serikali isiyokidhi mahitaji lukuki ya shule zetu hali.Ufinyu huo wa pesa umesababisha kuwepo kwa michango mingi isiyo rasmi ambayo inachangishwa ili kujazilia hiyo ruzuku kiduchu
 
Tatizo linaanzia pale wengi wanaochukuliwa kuwa waalimu ni wale ambao matokeo yao ya kidato cha nne na sita ni udhaifu!

Utaratibu ungebadilishwa uwe kama vyuo vikuu ambavyo huchukua waliofaulu vizuri (cream) tu. Vinginevyo wataendelea kunyanyasika na hawawezi kijinasua kwa kuwa wanafahamu ukweli kuwa wao ni dhaifu katika masomo wanayofundisha!
hii dhana sijui hutokea wap, heb siku moja mtu afanye utafiti au serikali itoe takwimu za watumishi Kada ya ualimu, afya, mifugo nk, tuone elimu za kila Kada maana zipo Kada miaka ya nyuma walikua wanaenda waliopata div 4 form 4. Mfano Afya na mifugo na bado serikali inawalipa vizuri. Sidhan kama ualimu ndio Kada iliyobeba failure wengi
 
Yaani mtu upate three ya mwisho advance ukaenda ualimu miaka mitatu uje ulipwe sana na mtu aliyepata division one au two ya mwanzo aliyeenda kusoma udaktari miaka mitano plus mmoja wa intern?..hell no
hao madaftari unaowasamea ni wachache Sana Ila ukija kwa manesi na maC.O wengi matokeo Yao yalikua mabovu Sana kuliko walimu. Ila wanalamba salary na posho kuliko walimu
 
Wazo lako ni sahihi kabisa kutokana na mapato finyu ya nchi ndio maana serikali imeweka nguvu kubwa kwenye infrastructure na si kwenye raslimali watu eg mwaka jana iliahidi kuongeza nyongeza ya asilimia 23 wakaishia kuweka nukta katikati na kuwa 2.3% mpaka mkaleta mfumuko wa bei ambao ukatuathiri na tusiohusika.Rudisheni ada shule za msingi atleast 5000 isaidiane na ruzuku ya serikali isiyokidhi mahitaji lukuki ya shule zetu hali.Ufinyu huo wa pesa umesababisha kuwepo kwa michango mingi isiyo rasmi ambayo inachangishwa ili kujazilia hiyo ruzuku kiduchu
Yes I'm sure mwanafunzi / wanafunzi wakilipa Ada shule zitakuwa na Elimu Bora Sana. Plus wakufunzi.
 
TGHS D1 1270,000/=

TGHS E1. 1,530,000/=

TGHS F1. 1,865,000/=

F1 ni mshahara wa Specialist anaeanza kazi.
Ila hata udactari bado ni umasikin..specialist analipwa 1.8M mbona kidogo sanaa
 
Kuwa mwalimu Tz manake akili ya kutafuta maisha bora umekosa unatafuta pa kujishikiza usife njaa. Wachache wanapata tubahati ila weengi ni mateso mfululizo mshahara tar. 22 unaisha tar. 30 wanaanza kuulizana tarehe maofisini! kwamba mwezi uishe tuu!!
Asilimia zaidi ya 80 ya walimu leo akaunti zao zinasoma "NILL"
Licha ya halimbaya serikali inawakata mamilioni ya PESA walizowasomesha chuo huku fedha hizo zikitafunwa vizuri na watumishi pale heslb (bodi ya mikopo elimu ya juu).
Mwanangu akitaka kusomea ualimu nitamfata chuoni nimkate fimbo hadharani sitaki mzigo kwenye familia yangu...
Mtu anashinda kazini na njaa hana hata elfu mbili anunue sahani ya chakula! wengine wanabeba maugali dagaa Toka nyumbani wale kazini!!!
Ni aibu saaana Kwa taifa yaani anayetoa ufunguo wa maisha yeye maisha yake yamefungwa na kutoka hawezi!!
 
Kuwa mwalimu Tz manake akili ya kutafuta maisha bora umekosa unatafuta pa kujishikiza usife njaa. Wachache wanapata tubahati ila weengi ni mateso mfululizo mshahara tar. 22 unaisha tar. 30 wanaanza kuulizana tarehe maofisini! kwamba mwezi uishe tuu!!
Asilimia zaidi ya 80 ya walimu leo akaunti zao zinasoma "NILL"
Licha ya halimbaya serikali inawakata mamilioni ya PESA walizowasomesha chuo huku fedha hizo zikitafunwa vizuri na watumishi pale heslb (bodi ya mikopo elimu ya juu).
Mwanangu akitaka kusomea ualimu nitamfata chuoni nimkate fimbo hadharani sitaki mzigo kwenye familia yangu...
Mtu anashinda kazini na njaa hana hata elfu mbili anunue sahani ya chakula! aibu saaana Kwa taifa yaani anayetoa ufunguo wa maisha yeye maisha yake yamefungwa na kutoka hawezi!!
Hao board ya mikopo ni majanga wala hawana utu kuna jamaa yangu ni mwalimu alikatwa fedha zake na hiyo board wakati si mnufaika wa hiyo board kwani hajawahi enda hata chuo simply aliwahi omba mkopo kwa kujaza fomu zao miaka ya 2010 eti mkopo wake walimpelekea huko chuoni ambako hakureport.Huyo mwalimu alishaomba online refund tangu mwaka jana na ilitakiwa arudishiwe hela yake within 90 days kisheria ajabu wala hakuna anayejali madai yake.Hivi mnanufaika na nini kwa kutesa Walimu wetu?
 
Kuwa mwalimu Tz manake akili ya kutafuta maisha bora umekosa unatafuta pa kujishikiza usife njaa. Wachache wanapata tubahati ila weengi ni mateso mfululizo mshahara tar. 22 unaisha tar. 30 wanaanza kuulizana tarehe maofisini! kwamba mwezi uishe tuu!!
Asilimia zaidi ya 80 ya walimu leo akaunti zao zinasoma "NILL"
Licha ya halimbaya serikali inawakata mamilioni ya PESA walizowasomesha chuo huku fedha hizo zikitafunwa vizuri na watumishi pale heslb (bodi ya mikopo elimu ya juu).
Mwanangu akitaka kusomea ualimu nitamfata chuoni nimkate fimbo hadharani sitaki mzigo kwenye familia yangu...
Mtu anashinda kazini na njaa hana hata elfu mbili anunue sahani ya chakula! wengine wanabeba maugali dagaa Toka nyumbani wale kazini!!!
Ni aibu saaana Kwa taifa yaani anayetoa ufunguo wa maisha yeye maisha yake yamefungwa na kutoka hawezi!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Hao board ya mikopo ni majanga wala hawana utu kuna jamaa yangu ni mwalimu alikatwa fedha zake na hiyo board wakati si mnufaika wa hiyo board kwani hajawahi enda hata chuo simply aliwahi omba mkopo kwa kujaza fomu zao miaka ya 2010 eti mkopo wake walimpelekea huko chuoni ambako hakureport.Huyo mwalimu alishaomba online refund tangu mwaka jana na ilitakiwa arudishiwe hela yake within 90 days kisheria ajabu wala hakuna anayejali madai yake.Hivi mnanufaika na nini kwa kutesa Walimu wetu?
Mwambie aandike barua atume kwa Ems hata mwezi hauishi atapata fedha zake mara nyingi madai ya online hawashughilikii na kama wakishughulikia yanachukia muda sana aambatanishe

✓Salary slips zinazoonyesha hayo makato
✓kopi ya cheti Cha kidato Cha nne
✓kopi ya kitambulisho Cha kazi
✓kopi ya kadi ya benki

Andika barua tuma posta kwa mkurugenzi in mkuu wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa njia ya EMS. Fasta utapata pesa Yake
 
Ambacho hujua na pengine mleta mada akuweka sawa sana. Viwango vya mishahara serikalini ni karibu sawa vikiwa na tofauti ya elfu 5 au 10 tu. Na wala CWT sio uchawi wa mishahara. Ualimu unaonekana kwakuwa wao ni Majority, kuwafanya mfano ni Rahisi sana.

Na kingine ni vile walimu hawana chakuiba huko shuleni ndio maana huwaoni kwenye ripoti za CAG.

Maafisa kilimo
Afisa maendeleo
Wahasibu wa serikali
Wanasheria wa serikali
Na wengine wengi
Wanaoajiriwa na Degree ya kwanza wooote wanacheza na laki 7 mpk 750. Kabla ya makato.

Tofauti inakuja kuwa yule muhasibu pale halimashauri mkurugenzi anaweza amka asbh akaitisha kikao cha kazi na wakagawana allowance ya laki moja moja. Kesho akaiba kwa kalamu elfu 50, kesho kutwa akapitisha malipo fulani badhirifu akapata 80 elfu. Ndani ya wiki nje ya mshahara katengeneza 230000/

Yule afisa mifugo kaamka asbh kaingia machinjioni kapewa elfu 30 kugonga mhuri kuridhia mfugo uliochinjwa, kesho tena atapewa 30 elfu na kilo 3 za nyama, wiki nzima atatengeneza 180 elfu nje ya mshahara.

Kule kuna mtendaji wa kijiji yeye mshahara ni mdogo zaidi ya mwalimu wa cheti, lakini pale kwenye kijiji anahonga mihuri tsh 3000, ana kesi za kijiji watu wanapigwa faini za kutosha, kwa wiki anatengeneza laki 2 nje ya mshahara.

Ndugu yangu mwalimu anaenda kazini jumatatu hadi ijumaa, hana hata kitu cha shilling 5 cha kuiba, akikomaa sana atengeneze nyumbani (barafu) ice-cream za maji akauze mia mia ndio arudi nyumbani na sh elfu 2 kama faida.

Shuleni hakunaga semina wala vikao vya allowance. Ukikaa kikao ni matako yako kuumia kwenye bench za shule ndio allowance yako. Huwezi iba chaki [emoji3][emoji3] utamuuzia nani?

Hapo ndipo tofauti ya ualimu na kazi zingine, mleta mada kasema walimu wengi wanatoka familia masikini maana ni masikini tu wanaruhusu watoto wao kusoma ualimu.

Hapa ndipo tunasema "They're poor because they were Poor".
[emoji382][emoji382]
 
Unawaongezaje mshahara watu wasio zalisha alafu ni wengi? Hizo hela za kuwaongeza zinatoka mfuko gani. Elimu ingekua inauzwa hapo walikua na haki ya kupewa mshahara mkubwa.

Daktari anazalisha nini?
Mwalimu ni mpishi au Kwa lugha nyingine ni mzalisha wataalamu wa baadaye.
Uzalishaji unaozungumzia wewe ni upi?
 
hii dhana sijui hutokea wap, heb siku moja mtu afanye utafiti au serikali itoe takwimu za watumishi Kada ya ualimu, afya, mifugo nk, tuone elimu za kila Kada maana zipo Kada miaka ya nyuma walikua wanaenda waliopata div 4 form 4. Mfano Afya na mifugo na bado serikali inawalipa vizuri. Sidhan kama ualimu ndio Kada iliyobeba failure wengi
Wanaongea Kwa hisia tu.
 
Daktari anazalisha nini?
Mwalimu ni mpishi au Kwa lugha nyingine ni mzalisha wataalamu wa baadaye.
Uzalishaji unaozungumzia wewe ni upi?
Hawajui Walimu ndio msingi wa kila KADA za Nchi hii lakini ndio lowest paid than them all.
 
Hao board ya mikopo ni majanga wala hawana utu kuna jamaa yangu ni mwalimu alikatwa fedha zake na hiyo board wakati si mnufaika wa hiyo board kwani hajawahi enda hata chuo simply aliwahi omba mkopo kwa kujaza fomu zao miaka ya 2010 eti mkopo wake walimpelekea huko chuoni ambako hakureport.Huyo mwalimu alishaomba online refund tangu mwaka jana na ilitakiwa arudishiwe hela yake within 90 days kisheria ajabu wala hakuna anayejali madai yake.Hivi mnanufaika na nini kwa kutesa Walimu wetu?
Unyama unyama yaani.
 
Kuwa mwalimu Tz manake akili ya kutafuta maisha bora umekosa unatafuta pa kujishikiza usife njaa. Wachache wanapata tubahati ila weengi ni mateso mfululizo mshahara tar. 22 unaisha tar. 30 wanaanza kuulizana tarehe maofisini! kwamba mwezi uishe tuu!!
Asilimia zaidi ya 80 ya walimu leo akaunti zao zinasoma "NILL"
Licha ya halimbaya serikali inawakata mamilioni ya PESA walizowasomesha chuo huku fedha hizo zikitafunwa vizuri na watumishi pale heslb (bodi ya mikopo elimu ya juu).
Mwanangu akitaka kusomea ualimu nitamfata chuoni nimkate fimbo hadharani sitaki mzigo kwenye familia yangu...
Mtu anashinda kazini na njaa hana hata elfu mbili anunue sahani ya chakula! wengine wanabeba maugali dagaa Toka nyumbani wale kazini!!!
Ni aibu saaana Kwa taifa yaani anayetoa ufunguo wa maisha yeye maisha yake yamefungwa na kutoka hawezi!!
Maisha ya Walimu wa Tanzania ni magumu kupita maelezo.

Hao ndio wanategemewa na Taifa kuboresha Elimu,, They can't be serious..

ELIMU BORA MASLAHI BORA.
 
Back
Top Bottom